Wahaya tunachunguzwa sana katika mapenzi, why?

Wahaya tunachunguzwa sana katika mapenzi, why?

HOYA,i have said and i am saying it again,sisi ni GENERATION MPYA,tunakwenda sambamba na curcumcision na whatever,nipeni sababu zingine,cause as far as i understand hili sio root cause,kuhusu kujifanya nshomile etc etc,now how does this come into play,one thing i understand,katika game la between the sheets,we have no peer,many a woman can testify on this

kumbe na wewe walewale new generation gani?Kizungu kingi kama upo na wenzio london.badilikeni na wakwe zenu wanasema mnadharau kwa sababu mnaongea nao kizungu ambacho hawaelewi! ujumbe uwafikieni
 
mamaland-kanyigo hiyo
1794683_654309364615420_961689294_n.jpg
 
Kwani wahaya kwa asili hawatahiri kuondoa govi? Naomba jibu pls japo nje ya mada kuu


Hiyo ni kashifa sasa .......... haiwezekani .............Hata kwa MSAADA WA WA-MARE:smile-big:KANI
 
Badili tabia,hua mnajiona sana,pia mpo wachoyo mno,tabia walizonazo wanawake wa kihaya na wa kiume wanazo hizo hizo,
Najivunia msukuma wangu mie ndoho taabhu gheteee
 
malaya mbwaaa ------- wakubwa

koma kabsaaaa narudia ukomee! Flavia nae mmbwa? Walioongoz kitaifa ufaulu nao mmbwa? N.k.....
Umenikera sana nsikuone kwenye hi thread tena maana ntakutapkia zaidi.
 
NAULIZA,jamani,kwanini
mimi kama muhaya,nitakapo kuwa na uhusiano wa mapenzi na mtanzania wa
kabila tofauti na mimi,scrutiny kubwa dhidi yangu has to take
place,kwani sisi male wa kihaya tunatatizo?akina dada wengi wapo tayari
kutoka na kabila lolote lakini sio muhaya,is it that our malehood una
walakin? i understand kuna certain stigma's attached to wahaya,lakini
hello,for god's sake,hii ni karne mpya,and on top sisi ni generation
mpya. sifurahi kusikia akina dada wakisema nitatoka na muhaya as a last
resort.naombeni majibu ndugu zangu

matatizo mlonayo.
1: misifaaa kibao
2: pamoja na iyo misifa ni wabahili kutoa mahari
ahaaaaa mhaya ukimwambia ka ng'ombe zinazotolewa kwetu siku iyo anabadilisha laini.
3: by nature tu hampendwi hasa ndoa, ila kama ni kwa fan tu, baadhi wako vizur.
 
Ila mimi nimehamia huku Lushoto na nina watafuna kwelikweli hata hawanikatai
 
Kuna mdada nimempiga katerero na sikujua kama ni mke wa mtu lakini naona kaniganda sana
 
matatizo mlonayo.
1: misifaaa kibao
2: pamoja na iyo misifa ni wabahili kutoa mahari
ahaaaaa mhaya ukimwambia ka ng'ombe zinazotolewa kwetu siku iyo anabadilisha laini.
3: by nature tu hampendwi hasa ndoa, ila kama ni kwa fan tu, baadhi wako vizur.

can you prove that?
 
mimi ni mhaya ila kumuoa mhaya mwenzangu ni bora nikafa bila kuoa
 
wahaya pia wana tabia mbaya ya umalaya. yani kwa hilo ni hawafaii....awe kijana awe mzee, hasa wanaume...yaani ni vichefu chefu hawa watu....kujigamba tu hata kama hawana kitu
 
mimi ni mhaya ila kumuoa mhaya mwenzangu ni bora nikafa bila kuoa

Nawapenda sana Wahaya sababu ya katerero, oooh ile kitu ni tamu balaaa jamani???

Lakini watani zangu kwa kupenda sifa hawajambo😉
 

Attachments

  • 1424151949155.jpg
    1424151949155.jpg
    97.1 KB · Views: 281
Badili tabia,hua mnajiona sana,pia mpo wachoyo mno,tabia walizonazo wanawake wa kihaya na wa kiume wanazo hizo hizo,
Najivunia msukuma wangu mie ndoho taabhu gheteee

Mbona mm kuanzia babu yangu hadi baba yangu wameoa makabila mengine sijaona kumbagua mtu hata kama hana kitu...acha kukariri dada...
 
Back
Top Bottom