Pundit
JF-Expert Member
- Feb 4, 2007
- 3,733
- 123
swala ni kudeal na mamlaka zinazohusika ili kuliondoa hili tatizo..
The most effective of dealing with this in this age of market system is through the market, by not enrolling into nursing.
A shortage of nurses will come about and they will realize how important nurses are, they will raise wages and working conditions.
My thing is you cannot sign up knowing how deplorable conditions are and then embark on a strike that will jeopardize peoples life, after you signed up nonetheless.
I understand the problem is with the biggerheads, lakini sisi wenyewe kama wananchi (hao wanaokubali kuwa nurses bila ya kuangalia maslahi kwanza kabla ya ku sign up) tunaendekeza sana njaa na matatizo yake ndiyo haya.Watu wanataka kuajiriwa tu bila kuangalia maslahi, wakiajiriwa ndiyo wanalalamika maslahi madogo, conditions mbaya.Uswahili mtupu!
Kwangu mimi ukishakuwa nurse maana yake umechukua risk ya kufa, that is bigger than any money/ resources issue.Sasa kwa nini uchukue risk ya kufa wakati wewe uko concerned sana na mshiko kuliko hata maisha yangu?
Au ni geresha tu ili mradi upate ajira?
Kuna story moja ya Engineer aliyekuwa analalamika kuwa engineers hawapati ujiko bali kila kitu kizuri kikijengwa anayepata ujiko ni architect, engineer mwingine akamjibu akamwambia kama unataka ujiko nenda Hollywood kawe actor.
Kuna kazi nyingine zinataka moyo wa sacrifice na tusitake kuwatetea wauaji eti kwa sababu ya conditions na mishahara.I understand they gotta eat and all, but damn, do they have to kill somebody? Kama wao kinachowa motivate ni mishahara they are in the wrong profession.