Waepuke wanawake masikini

Waepuke wanawake masikini

Watu muwe mnasoma kwa kuelewa mbona nimeandika kwamba "kwa kijana ambaye anajenga maisha yake" . Sasa hao wakina Mo na Lugumi wapo kwenye building stage?hata hivyo unafikiri huyo Mo na GSM wameoa kwenye familia masikini?

Suala la kumbeba mwanamke hilo siafikiani nalo kabisa, hilo ni jukumu la wazazi wake mpaka atakapokua mkeo rasmi.
Mkuu nimekwambia hii ni nature
Mwanamke ni sehemu yako
Mwanamke anaweza akawa masikini wa kipato akakupa utulivu, muda, heshima, ushauri na akakujenga kuwa Bora psychologically na hivo ukafanikiwa.
Na ukamwoa tajiri ikawa vise versa.
So mwanamke Bora huwezi kumtafsiri Kwa kipato chake
 
Mimi naona umasikini sio tatizo, wewe angalia mtazamo wake juu ya huo umasikini na juhudi anazotumia kupambana nao.

Wapo wenye uwezo lakini wana tabia zinazoweza kuwarudisha kwenye umasikini haraka sana.
Ukisilimu naenda kukudalalia kwa Mama Samia upate hata Ukuu wa Wilaya.
Allah akufanyie wepesi Saidi Kumbwidu.
 
Mkuu nimekwambia hii ni nature
Mwanamke ni sehemu yako
Mwanamke anaweza akawa masikini wa kipato akakupa utulivu, muda, heshima, ushauri na akakujenga kuwa Bora psychologically na hivo ukafanikiwa.
Na ukamwoa tajiri ikawa vise versa.
So mwanamke Bora huwezi kumtafsiri Kwa kipato chake
Nature haipo fair kwa kila mtu. Kwaiyo ni wajibu wako kufanya adjustment hapo kwenye natural course. Pamoja na kwamba naturally mwanaume ni elevator wa mwanamke hii sio maana yake uwekeze tu resources zako kwa mwanamke kichwa kichwa.

Naturally hisia za binadamu zinabadilika. Kama huyo mwanamke kesho hisia zake zikibadilika vipi kuhusu sacrifices na investments zako? Hapo ndipo unakuja umuhimu wa kuzingatia mwanamke nae analeta nini mezani.

Kukiwa na mutually investment hata ikitokea misunderstanding kila mmoja atakua tayari kukaa kwenye meza ya usuluhishi kwa sababu kila ana cha kupoteza mahusiano yakifika mwisho. Nenda mahakama za masuala ya talaka uko. Hakuna mwanamke anapambania ndoa yake, wote wanataka mgao wa mali
 
mambo mengine bhana, >68% ya watanzagiza ni masikini, halafu wewe unasema waepuke wanawake masikini, chances are that kwenye familia yako masikini wapo na ni wengi tu kwa maana zaidi ya nusu watazagiza ni masikini i.e ktk kila watu 2 mmojawapo 1 ni maskini, sasa hiyo theory yako ita-work vipi? ...
Wewe bibi kigagula mlokole vipi leo uko mada ya mbususu...
Na hoja zako hazijakamilika kama hutawataja komunisti na muslims kama wahusika wakuu...
 
Nature haipo fair kwa kila mtu. Kwaiyo ni wajibu wako kufanya adjustment hapo kwenye natural course. Pamoja na kwamba naturally mwanaume ni elevator wa mwanamke hii sio maana yake uwekeze tu resources zako kwa mwanamke kichwa kichwa.

Naturally hisia za binadamu zinabadilika. Kama huyo mwanamke kesho hisia zake zikibadilika vipi kuhusu sacrifices na investments zako? Hapo ndipo unakuja umuhimu wa kuzingatia mwanamke nae analeta nini mezani.

Kukiwa na mutually investment hata ikitokea misunderstanding kila mmoja atakua tayari kukaa kwenye meza ya usuluhishi kwa sababu kila ana cha kupoteza mahusiano yakifika mwisho. Nenda mahakama za masuala ya talaka uko. Hakuna mwanamke anapambania ndoa yake, wote wanataka mgao wa mali
Basi nadhani Kwa hoja hiyo me na wewe hatupingani
Kama unakubali kuwa ni suala la nature hapo nimekuelewa.
Kuhusu hisia kubadilika na mahusiano kuvunjika, hilo ni suala la kawaida na binafsi siwezi kuishi na mke wangu Kwa tahadhari kuwa itakuwaje mahusiano yakifika mwisho, hiyo naichulia kama ajali kuwa naweza kuwa na Mali imaungua moto
 
I know, kwa sababu watu kama ninyi siku zote ndio huwa mna kelele sana
Kama haupendezwi na post za member yoyote wa jf. Click user name yake, itakuja profile yake na utaona section imeandikwa ignore. Ukiclick hapo kwenye ignore hautaona chochote anakiandika member huyo hapa jf
 
Basi nadhani Kwa hoja hiyo me na wewe hatupingani
Kama unakubali kuwa ni suala la nature hapo nimekuelewa.
Kuhusu hisia kubadilika na mahusiano kuvunjika, hilo ni suala la kawaida na binafsi siwezi kuishi na mke wangu Kwa tahadhari kuwa itakuwaje mahusiano yakifika mwisho, hiyo naichulia kama ajali kuwa naweza kuwa na Mali imaungua moto
Yap, nature naijua vile vile natambua nature haipo fair kwa kila mtu au kwenye kila kitu. Kwaiyo ni wajibu wangu binafsi kufanya adjustments kwa ajiri ya manufaa yangu. Ni kawaida binadamu kufanya self preservation, hata ndoa za prenup na trend ya vijana wenfi kuandikisha mali zao kwa majina ya mama wakianza kupata utajiri msingi wake ni self preservation maana ukifata natural course ya kwamba mwanaume ni elevator wa mwanamke, katika nature hiyo hiyo hakuna guarantee kwamba it will end in your favor
 
Kama haupendezwi na post za member yoyote wa jf. Click user name yake, itakuja profile yake na utaona section imeandikwa ignore. Ukiclick hapo kwenye ignore hautaona chochote anakiandika member huyo hapa jf
😁😁 Mkuu tusifike huko, komenti yangu inahisiana na thread hii sina tatizo na wewe kama member wa Jf
 
Back
Top Bottom