Waepuke wanawake masikini

Waepuke wanawake masikini

Hatupo kwenye zama ambazo umezifanyia rejea. Kuna namna wanawake wamebadilika. Kuna namna mifumo ya kijamii imebadilika. The whole system rigged against men, kwahiyo ni lazima na mwanaume nae afanye adjustment.

hauwezi kubadilisha biology, kwani wanaume wamebadilika? again unapoteza muda na energy yako bure hauwezi kubadilisha chochote, kama hauna game hakuna demu atayekukubali au hauwezi kuchagua yule unayempenda atleast, its just the way it is, na ni dunia nzima siyo tanzagiza tu.

kama ulikataliwa ichukulie kama changamoto and work on yoursself ...
 
Mimi

Nawataka hao wanawake maskini.
Ukiniletea kama 10
Kwa kila mmoja nitakuzawadia milion moja za kitanzania.
Wahi mapema
Nafasi ni chache.
Nipo selective sana linapokuja suala la kujenga urafiki na mwanamke. Sitengenezi urafiki na mwanamke asiyekua na mbele wala nyuma kwahiyo kwenye network yangu hakuna mwanamke masikini, lakini ukienda bar zinazokesha wikiend utawapata wengi sana.
 
Nipo selective sana linapokuja suala la kujenga urafiki na mwanamke. Sitengenezi urafiki na mwanamke asiyekua na mbele wala nyuma kwahiyo kwenye network yangu hakuna mwanamke masikini, lakini ukienda bar zinazokesha wikiend utawapata wengi sana.
Ila threads zako zinaonesha kwenye mizunguko yako unakutana sana na wanawake wa design hiyo.
 
📌 mimi siku zote nasema wanaume wenye pesa wana maneno kidogo
Nita-date na mwanamke maskini na atakula hela zangu mara nyingi tu, ila nitaangalia character yake jinsi ilivyo (how compatible we are)

Naamini there are other multiple ways mwanamke anaeza toa mchango kwenye maisha ya mwanaume, hata kama huyo mdada hana hela, na hata kama asipotoa sex, bado huyo mdada maskini ana mchango.

Huwezi kuwa hutaki kujihusisha na maisha yangu (huna companionship, friendly affection,), ila ukipata shida ya hela ndo unahaha kunitafuta ..hapo utaniona mbahili ShesRise_1 leo dada Natafuta Ajira
 
Huyu dalili za umasikini zimemjaa!!!!!
Mwanaume kabisa ambae yuko vizuri Hana muda wa kuandika hayo makanyagio
Kama kawaida siku zote huwa mnamshambulia mtoa hoja badala ya kushambulia hoja. Msubirini think tank wenu Binti kiziwi aje kuwatetea, otherwise mtaishia kujidhalilisha tu
 
Nita-date na mwanamke maskini na atakula hela zangu mara nyingi tu, ila nitaangalia character yake jinsi ilivyo (how compatible we are)

Naamini there are other multiple ways mwanamke anaeza toa mchango kwenye maisha ya mwanaume, hata kama huyo mdada hana hela, na hata kama asipotoa sex, bado huyo mdada maskini ana mchango.

Huwezi kuwa hutaki kujihusisha na maisha yangu (huna companionship, friendly affection,), ila ukipata shida ya hela ndo unahaha kunitafuta ..hapo utaniona mbahili ShesRise_1 leo dada Natafuta Ajira
🤝🤝 uzuri leo mtoa mada wanaume wenzie ndio wana battle nae
 
Uzuri ni kuwa tunakutana masikini kwa masikini, nowadays ni ngumu sana kukutana na mtu mwenye maisha yake, anajiweza kwa kila kitu wakati wewe na familia yako ni masikini. Wenye pesa hawataki kukutana na watu wanaoomba hadi kwa wajomba huko. Yaani mtu mmoja abebe shida za ukoo, watu wanalinda ukwasi wao.
 
Back
Top Bottom