Waepuke wanawake masikini

Waepuke wanawake masikini

Mi mwenzio napenda hela toka usichana wangu!!!!!!!!
Hapa nazeeka mume anajua kabisa Mimi na Hela tulivyo sambamba.
Hilo swali waulize mabinti maana sina uzoefu wa kuuliza hivyo.
Na uzoefu na penzi la kimaskini sina
😂😂😂
 
hauwezi kubadilisha biology, kwani wanaume wamebadilika? again unapoteza muda na energy yako bure hauwezi kubadilisha chochote, kama hauna game hakuna demu atayekukubali au hauwezi kuchagua yule unayempenda atleast, its just the way it is, na ni dunia nzima siyo tanzagiza tu.

kama ulikataliwa ichukulie kama changamoto and work on yoursself ...
Hakuna ambapo nataka kubadilisha baiolojia. Najua nature inavyo-operate linapokuja suala la muingiliano baina ya mwanaume na mwanamke. Kumbuka nature haipo fair, haina huruma wala morality kama binadamu.

Kwenye vipengere ambavyo natural course inaweza kukukatiri unaweza ukafanya adjustment ukatoka salama.

Mfano naturally inaeleweka kabla mwanamke hajawakubali kuwa na mwanaume katika mahusiano lazima apige hesabu zake kuona kama mwanaume husika anaweza ku-elevate maisha yake.

Kumbuka mwanamke ni illogical creature, and when it comes to selecting a man to be with she prioritize survival over emotions. Kwahiyo kukutana na mwanamke akiwa hapo kwenye surviving phase kuna risk ya kukutumia kama ngazi tu ili kufamikisha mipango yake. Ndipo hapo inapokuja risk ya ku-date na mwanamke masikini.
 
mambo mengine bhana, >68% ya watanzagiza ni masikini, halafu wewe unasema waepuke wanawake masikini, chances are that kwenye familia yako masikini wapo na ni wengi tu kwa maana zaidi ya nusu watazagiza ni masikini i.e ktk kila watu 2 mmojawapo 1 ni maskini, sasa hiyo theory yako ita-work vipi? ...
Mtoa mada yuko sahihi 100 % sawa atoke katika familia ya ki maskini ndiyo uwena na mwanamke hana connections , pesa , hata kukushauri mawazo chanya ya maendeleo hakuna ??? Basi akupe faraja ya moyo hakuna ??? Yeye ni kuvuliwa tu KWELI ??
 
Inategemea ni mwanamke wa aina gani, kuna mwanamke masikini na ana akili kubwa na malengo ya mbali ni life tu halijamnyookea, afu kuna wale wanawake ni masikini wa mali mpaka na akili, hakuna anachowaza zaidi ya kuomba, mwili wake ndio mtaji..mwanamke masikini mwenye akili kubwa na misimamo, wanajiheshim, hawana tamaa, wana subira,halalwilalwi na kila mtu.
Kama anaakili kubwa mwache apambane kwanza mwenyewe ndo muoane mkiwa kila mtu anachakuanzia
 
Mtoa mada yuko sahihi 100 % sawa atoke katika familia ya ki maskini ndiyo uwena na mwanamke hana connections , pesa , hata kukushauri mawazo chanya ya maendeleo hakuna ??? Basi akupe faraja ya moyo hakuna ??? Yeye ni kuvuliwa tu KWELI ??

lkn hayo yote ulioyataja hayana uhusiano na mali, kuna wanawake "matajiri" na wana check boxes ya hayo yote ulioyataja ukiondoa pesa ambayo pia siajabu haitakusaidia kitu kwa maana anaweza asikupe na wanapenda "kuvuliwa tu kiukweli" ...
 
Wanaume wa siku hizi ni irresponsible ndio maana vitu basics tu vya kufanya kwa wanawake wanavianzishiq mijadala.
Dunia imebadilika kwaiyo usitegemee watu wakachangamana na approach zile zile kila kizazi.

Embu mwenyewe nipe hoja yenye mantiki. Katika dunia ya sasa ambayo mwanaume na mwanamke wamepewa fursa sawa, bado kuna sababu ya mwanamke kuwa tegemezi kwa mwanaume?
 
Dunia imebadilika kwaiyo usitegemee watu wakachangamana na approach zile zile kila kizazi.

Embu mwenyewe nipe hoja yenye mantiki. Katika dunia ya sasa ambayo mwanaume na mwanamke wamepewa fursa sawa, bado kuna sababu ya mwanamke kuwa tegemezi kwa mwanaume?
Wanawake wanataka 50/50 kwenye mambo mengine ila ya pesa hawataki kuambiwa ukweli
 
Nimeongelea masikini sijaongelea ombaomba. Kuna sehemu nimefafanua kwamba hata asipokuomba hela kuna namna utajiona unawajibika ku-elevate maisha yake hapo sasa ndipo unajikuta umejitwisha mzigo usiokuhusu
Kwahiyo unataka kusema ambaye siyo masikini hakwitishi mzigo? Mimi nachojua wanawake hawa awe broke au siyo broke wote wanapata backup kutoka kwa mwanamme ,sasa hiyo backup ndiyo tafsiri inatofautiana.

Mkuu inaonyesha haujawahi kudate na wanawake ambao siyo broke(independent) ,tafuta mtu aliyewahi kudate nao akupe data zao.....Usifinanishe maisha ya kwenye filamu Ray kigosi au Dr Cheni kapendwa na mwanamke tajiri mambo kwenye ground ni tofauti kabisa.

Mimi nachokataa hapa kugenerilze mambo kwamba mwanamke masikini basi ni mzigo kwa mwanamme ambacho si kweli kuna ambao siyo masikini pia ni mzigo kwa mwanamme and vice versa is true.
 
lkn hayo yote ulioyataja hayana uhusiano na mali, kuna wanawake "matajiri" na wana check boxes ya hayo yote ulioyataja ukiondoa pesa ambayo pia siajabu haitakusaidia kitu kwa maana anaweza asikupe na wanapenda "kuvuliwa tu kiukweli" ...
Kwamba mwanamke kuvuliwa hakuna uhusiano na mali/pesa. Mwanaume mwenye hela na mwanaume masikini wana chance sawa ya kuwa na options nyingi za wanawake kwenye dating pool? Wewe jamaa unaishi dunia gani. Infact hata huyo mwanamke mwenye hela atavuliwa na wanaume wenye hela zaidi yake, sio choka mbaya tu
 
Kwamba mwanamke kuvuliwa hakuna uhusiano na mali/pesa. Mwanaume mwenye hela na mwanaume masikini wana chance sawa ya kuwa na options nyingi za wanawake kwenye dating pool? Wewe jamaa unaishi dunia gani. Infact hata huyo mwanamke mwenye hela atavuliwa na wanaume wenye hela zaidi yake, sio choka mbaya tu

sijasema hivyo unanilisha maneno, isitoshe mimi mambo ya kuvuliwa siyajui, iam a Christian na naamini katika ndoa, and mwanaume ni lzm uwe ready ku endesha familia kabla ya kuianzisha …
 
Back
Top Bottom