Waepuke wanawake masikini

Waepuke wanawake masikini

Kwasasa tafsiri ya mtu masikini sio mtu anayeshindwa ku afford chakula

Ni mtu anayeshindwa ku afford luxury life.

Hata wanaosema hawako tayari ku date na mtu masikini hawakusudii mtu asiyeweza kumudu milo mitatu kwa siku.
ooh basi mi nipo tofauti na wengine,, ukiweza kulipa kodi, uhakika wa milo mitatu, out mara 2 kwa mwezi aiii mbona kwangu ni tajeeer kabisa
 
Yap, nature naijua vile vile natambua nature haipo fair kwa kila mtu au kwenye kila kitu. Kwaiyo ni wajibu wangu binafsi kufanya adjustments kwa ajiri ya manufaa yangu. Ni kawaida binadamu kufanya self preservation, hata ndoa za prenup na trend ya vijana wenfi kuandikisha mali zao kwa majina ya mama wakianza kupata utajiri msingi wake ni self preservation maana ukifata natural course ya kwamba mwanaume ni elevator wa mwanamke, katika nature hiyo hiyo hakuna guarantee kwamba it will end in your favor
Iko hivi uko sahihi naheshimu mtazamo wako
 
Siku hizi maisha tunaviziana sana; wanaume wanataka wanawake wanaojiweza ili wawalee, wanawake wanataka wanaume matajiri ili watajirike. 😊

Wanawake wanatakiwa kupambana sana siku hizi; game imebadirika sana. Unaolewa sababu ya kitu flani. Hatari sana!
Ukiangalia siku hizi; mwanamke akipata kazi au akiwa anajiweza ndio anaolewa. Kazi ipo.
Lakini sio kwa ubaya, watu wanataka kukata mnyororo wa umasikini.

Sio kuviziana per se, Mi nimekulia uswahilini, my peers wengi wameishia form 2, form 4 wengine wamezaa, wanaruka ruka kazi hawafanyi , biashara hawana, siku moja kwenye kupiga story wanasema kupata ndoa ni ngumu blah blah, nikawachana tu fanyeni kazi, jishughulisheni, na muwe na realistic expectations kuhusu mahusiano mbona ndoa ni nje nje …….. Sio kwa ubaya mwanaume anapokuangalia ana picture familia yake miaka kumi ijayo na wewe……

Hivyo hivyo, binafsi if i want a man to leave me alone, nisijisikie guilty (maana kutongozwa pia ni heshima) nikitaka aondoke kwa heshima, inategemea tumekutana wapi, namwambia sina kazi , sijapata kazi, sina mtaji wa biashara, sina chochote nakaa kwetu tu napikia wazee, chances are 80% wanajikata shwaaa! 😅
 
ooh basi mi nipo tofauti na wengine,, ukiweza kulipa kodi, uhakika wa milo mitatu, out mara 2 kwa mwezi aiii mbona kwangu ni tajeeer kabisa
Mahitaji muhimu ya mwanamke, wanaume tunayajua, na tupo tayari kuyatimiza as long as mwanamke husika ni mke rasmi.
 
Mwanamke masikini ni liability. Kaa nae mbali kama bado unajenga maisha yako. Hakuna chochote chenye thamani anachoweza kuchangia kwenye mahusiano. Hawezi kukupa hela, connections za michongo wala kukusuluhishia tatizo lako lolote.

Hata ukiwa kwenye mahusiano na mwanamke masikini. Ukapata mwanamke mwingine mwenye tabia nzuri na anajimudu mahitaji yake au anatokea kwenye familia yenye connections(za kisiasa, biashara n.k), basi achana na yule masikini. Kwa sababu masikini ni liability, na yule mwenye hela/connections ni asset. Mwanaume daima yaangalie mahusiano kwa jicho la kibiashara kama wafanyavyo wanawake

Usijifanye shujaa kwenye maisha ya mwanamke masikini. Hauhusiki na umasikini wa mwanamke Umasikini wa mwanamke sio tatizo lako, ni tatizo lake na familia yake. You don't owe any woman the life her parents failed to give her.

Mwanamke masikini ana njaa, ana bill za kulipa, na anajua mahusiano ndio nafasi rahisi kutua mzigo wake. Kumbuka yeye anapotua mzigo wake, mzigo huo utaubeba wewe kwa sababu utataka kudhihirisha upendo na uanaume wako kwa kubeba jukumu la kumtimizia mahitaji yake.

Hapa sio lazima akuombe hela,kwa sababu tayari yupo kwenye maisha yako utajiona una wajibu wa kumpa hela. Hivyo vielfu 10 utaona sio chochote. Ghafla utashangaa hela yako haikai na kuanza kujiuliza sijaenda club, sijanunua nguo, hela imeenda wapi? Jibu ni rahisi, kuna liability umeiongeza kwenye maisha yako.

Tupo kwenye dunia ya usawa wa kijinsia. Mwanamke kapewa fursa zote alizopewa mwanaume. Hakuna kisingizio chochote cha mwanamke kuingia kwenye mahusiano akiwa masikini na kutaka atimiziwe mahitaji yake na mwanaume. Mwanamke masikini apambane kwanza kutengeneza maisha yake ndio aingie kwenye mahusiano, vinginevyo atumike kama chombo cha starehe.

Brozos, broke women don't date for love, they date to survive. You saw a future she saw an opportunity, and temporary bonding grease called "love" blinded you because you never questioned the uncertainty.

Brozo, a broke woman will slow you down and still leave you in the end when she see no significant progress.

Don’t be a simp.
Umasknini wa mwanamke,kwangu si moja ya sifa nazotumia kumchagua
 
Lakini sio kwa ubaya, watu wanataka kukata mnyororo wa umasikini.

Sio kuviziana per se, Mi nimekulia uswahilini, my peers wengi wameishia form 2, form 4 wengine wamezaa, wanaruka ruka kazi hawafanyi , biashara hawana, siku moja kwenye kupiga story wanasema kupata ndoa ni ngumu blah blah, nikawachana tu fanyeni kazi, jishughulisheni, na muwe na realistic expectations kuhusu mahusiano mbona ndoa ni nje nje …….. Sio kwa ubaya mwanaume anapokuangalia ana picture familia yake miaka kumi ijayo na wewe……

Sio vibaya; lakini mtu akikupima kwa umasikini/poverty tayari anakuwa amekupima kwa "material things"; tafsir yake ni kwamba hata kama una mindset nzuri; mtafutaji, wife material tayari unakosa sifa kwake kwa kigezo hicho. Yeye anakuwa anakupima kwa vitu vinavyoonekana sio mindset yako ambayo ndio future yako/yenu. Kuna watu wazuri wenye "future" watashindwa kuolewa kwa kigezo hicho.
Hata hivyo sikupingi; ni sawa tuu. 😊
 
Kwanini wanawake waliopo kwenye nafasi nzuri kiuchumi hawatumii hiyo hiyo logic kuingia kwenye mahusiano na wanaume masikini. Hapo juu kuna mstari nimesema "Mwanaume daima yaangalie mahusiano kwa jicho la kibiashara kama wafanyavyo wanawake". Masikini wa kutoka kwenye familia nyingine hakuhusu.
Mkuu uko sahihi kabisa. Kuchagua mwenza kwa usahihi ni njia moja wapo ya kupambana na adui masikini. Pia upo uwezekano kupunguza poverty circle kwa kizazi chako. Mwanamke awe na shughuli ya kufanya.
 
Dunia imebadilika kwaiyo usitegemee watu wakachangamana na approach zile zile kila kizazi.

Embu mwenyewe nipe hoja yenye mantiki. Katika dunia ya sasa ambayo mwanaume na mwanamke wamepewa fursa sawa, bado kuna sababu ya mwanamke kuwa tegemezi kwa mwanaume?
Kama wanawake kufanya kazi, hajawaanza leo wala jana. Mimi binafsi nimezaliwa na wazazi ambao wote walikuwa watumishi wa umma, lakini sikuwahi kuona haya maujinga ya haki sawa.

Ni vijana wa sasa nyoronyoro ndio wanakuja na hizi agenda uchwara za kutaka wanawake na wanaume wawe sawa.
 
Lakini sio kwa ubaya, watu wanataka kukata mnyororo wa umasikini.

Sio kuviziana per se, Mi nimekulia uswahilini, my peers wengi wameishia form 2, form 4 wengine wamezaa, wanaruka ruka kazi hawafanyi , biashara hawana, siku moja kwenye kupiga story wanasema kupata ndoa ni ngumu blah blah, nikawachana tu fanyeni kazi, jishughulisheni, na muwe na realistic expectations kuhusu mahusiano mbona ndoa ni nje nje …….. Sio kwa ubaya mwanaume anapokuangalia ana picture familia yake miaka kumi ijayo na wewe……

Hivyo hivyo, binafsi if i want a man to leave me alone, nisijisikie guilty (maana kutongozwa pia ni heshima) nikitaka aondoke kwa heshima, inategemea tumekutana wapi, namwambia sina kazi , sijapata kazi, sina mtaji wa biashara, sina chochote nakaa kwetu tu napikia wazee, chances are 80% wanajikata shwaaa! 😅
Kweli kabisa, wanawake wengi wanafikiri kufanya kazi na kujenga maisha ya individually ni option sio hitaji la lazima. Ndipo hapo akiwa na kipato anaanza kujiita independent woman. Mwingine ataanza kusema badala ya kudanga nimeamua kufanya kazi hii. Ni kama wanajiona wanastahili noble prize kwa kuishi honest and decent life.

Chukulia mfano bodaboda aseme "badala ya kuwa jambazi nimeamua kuwa dereva". Hii maana yake ni kama anamajuto kutochagua hiyo njia ya ujambazi au kuna namna hilo wazo lilishawahi kumjia sema kwa sababu zake akaamua kuachana na hiyo njia.

Wanawake wemgi wanafikiri kutoka kimaisha kupitia mahusiano/kudanga ni rahisi. Ukweli ni kwamba hata mwanamke akiamua kuchagua career ya kudanga bado atahitaji connection na kujifanyia marketing, otherwise ataishia kupewa hizi elfu 20,30 ambazo amfikisha popote.

Inabidi wanawake wapanue fikra na wajue suala la kubadilisha maisha yao ni wajibu wao binafsi. No body owe you a noble prize for living a honest and decent life.
 
ooh basi mi nipo tofauti na wengine,, ukiweza kulipa kodi, uhakika wa milo mitatu, out mara 2 kwa mwezi aiii mbona kwangu ni tajeeer kabisa
Umeona sasa jinsi ulivyo piga u-turn?

Mchongo sio tena ishu ya chakula now ume switch kutoka kwenye milo mitatu hadi out mara 2 kwa mwezi

Maana yake hapa ume approach leisurely life in a smart move.

Kwasababu najua hizo out hujazipimia kuwa zifanyike kwenye mashamba ya mihogo ambapo pesa sio mchongo.

Hapana bila shaka kutakuwa kuna sehemu special ambayo huko ni Benjamin Franklin tu ndio anatamba. Dhana ambayo mwanzo haikuonekana kama kigezo ila now imejitokeza kama ishu ya dharula.
 
Kama wanawake kufanya kazi, hajawaanza leo wala jana. Mimi binafsi nimezaliwa na wazazi ambao wote walikuwa watumishi wa umma, lakini sikuwahi kuona haya maujinga ya haki sawa.

Ni vijana wa sasa nyoronyoro ndio wanakuja na hizi agenda uchwara za kutaka wanawake na wanaume wawe sawa.
Sio vijana ni mifumo ya kidunia ndio inesimika huo usawa wa kijinsia. Vijana wanaji-adjust kwenye mfumo. You can't beat the system singlehandedly
 
Back
Top Bottom