The Icebreaker
Platinum Member
- Apr 24, 2014
- 35,612
- 108,704
Naunga mkono hoja,
Vijana chukueni hilo wazo na mlifanyie kazi.
Vijana chukueni hilo wazo na mlifanyie kazi.
Umeandika meengi badala ya ku summarize kwamba mwanamke maskini hana shukrani hata ufanyeje lazima liku cheat tuuMwanamke masikini ni liability. Kaa nae mbali kama bado unajenga maisha yako. Hakuna chochote chenye thamani anachoweza kuchangia kwenye mahusiano. Hawezi kukupa hela, connections za michongo wala kukusuluhishia tatizo lako lolote.
Hata ukiwa kwenye mahusiano na mwanamke masikini. Ukapata mwanamke mwingine mwenye tabia nzuri na anajimudu mahitaji yake au anatokea kwenye familia yenye connections(za kisiasa, biashara n.k), basi achana na yule masikini. Kwa sababu masikini ni liability, na yule mwenye hela/connections ni asset. Mwanaume daima yaangalie mahusiano kwa jicho la kibiashara kama wafanyavyo wanawake
Usijifanye shujaa kwenye maisha ya mwanamke masikini. Hauhusiki na umasikini wa mwanamke Umasikini wa mwanamke sio tatizo lako, ni tatizo lake na familia yake. You don't owe any woman the life her parents failed to give her.
Mwanamke masikini ana njaa, ana bill za kulipa, na anajua mahusiano ndio nafasi rahisi kutua mzigo wake. Kumbuka yeye anapotua mzigo wake, mzigo huo utaubeba wewe kwa sababu utataka kudhihirisha upendo na uanaume wako kwa kubeba jukumu la kumtimizia mahitaji yake.
Hapa sio lazima akuombe hela,kwa sababu tayari yupo kwenye maisha yako utajiona una wajibu wa kumpa hela. Hivyo vielfu 10 utaona sio chochote. Ghafla utashangaa hela yako haikai na kuanza kujiuliza sijaenda club, sijanunua nguo, hela imeenda wapi? Jibu ni rahisi, kuna liability umeiongeza kwenye maisha yako.
Tupo kwenye dunia ya usawa wa kijinsia. Mwanamke kapewa fursa zote alizopewa mwanaume. Hakuna kisingizio chochote cha mwanamke kuingia kwenye mahusiano akiwa masikini na kutaka atimiziwe mahitaji yake na mwanaume. Mwanamke masikini apambane kwanza kutengeneza maisha yake ndio aingie kwenye mahusiano, vinginevyo atumike kama chombo cha starehe.
Brozos, broke women don't date for love, they date to survive. You saw a future she saw an opportunity, and temporary bonding grease called "love" blinded you because you never questioned the uncertainty.
Brozo, a broke woman will slow you down and still leave you in the end when she see no significant progress.
Don’t be a simp.
Sio lazima awe na uchumi mkubwa hata akiwa anajishughulisha tu na chochote ni sawa. Watakutana na mwanaume, watapendana, wataanzia safari yao ya maisha hapoKuna pastor anahubiri binti kabla hajaolewa ajitahidi kuwa na uchumi mzuri, awe tayari ana asset
Nimeongelea liability mzee mwenzangu. Hata asipokucheat bado ni liabilityUmeandika meengi badala ya ku summarize kwamba mwanamke maskini hana shukrani hata ufanyeje lazima liku cheat tuu
Na wewe nielewe maana yangu pamoja ya kujitoa kwako kulipambania (liability) bado litakucheatNimeongelea liability mzee mwenzangu. Hata asipokucheat bado ni liability
Mkuu sasa hivi tunafanya assessment kwa kuangalia results, sio potential. Ukishakua tu soft spot hapo hapo ndipo utakapopigiwa KO.Sio vibaya; lakini mtu akikupima kwa umasikini/poverty tayari anakuwa amekupima kwa "material things"; tafsir yake ni kwamba hata kama una mindset nzuri; mtafutaji, wife material tayari unakosa sifa kwake kwa kigezo hicho. Yeye anakuwa anakupima kwa vitu vinavyoonekana sio mindset yako ambayo ndio future yako/yenu. Kuna watu wazuri wenye "future" watashindwa kuolewa kwa kigezo hicho.
Hata hivyo sikupingi; ni sawa tuu. 😊
Mkuu sasa hivi tunafanya assessment kwa kuangalia results, sio potential. Ukishakua tu soft spot hapo hapo ndipo utakapopigiwa KO.
Angalao ndugu ni damu yako, ingawa bado ni muhimu kusaidia kwa kiasiSio wanawake tu, hata ndugu jamaa na marafiki ni maadui kwenye progress. Tunapokosea ni kuwapa access kwenye wallet wakati bado tunajitafuta. Mazoea mabaya. Ukiwapa watu pesa zako
Yote ni muhimu kuyaunganisha kwa pamojaKwa iyo brother; ile ya kuchangua "mindset" nzuri ya mwanamke, kuifanyia mentorship na kuiwezesha, haifanyi kazi na haileti matunda siku hizi? 😊
Hata hivyo siwapingi; mna dunia yenu. 😊
Substitution ya masikini sio tajiri,na hakuna popote nilipoandika tajiri kwenye post. Nimemaanisha mwanamke ambaye hana kipato wala chochote cha maana kinachoendelea kwenye maisha yake. Jaribuni kusoma between the lines. Maana najikuta narudia rudia kuelezea vitu ambavyo vinaelewekaMovie zinawadanganya jamani 😃
Wewe masikini huyo tajiri utakutana nae wapi?!
Hela inafata hela, tena bora wanawake akijaliwa kasura na ka shape ana 50% ya kupata tajiri
Ila nyie kaka zangu pambaneni maana mna 2% tu ya kuopoa wa kishua!
Mkuu embu tupe story yako. Ilikuaje?Na wewe nielewe maana yangu pamoja ya kujitoa kwako kulipambania (liability) bado litakucheat
NimekuulizaUmeona hivyo vigezo vyako "mke mrembo"
Unadhani dunia ya kileo kigezo cha wanawake kwenye mahitaji ya kimahusiano ni "Mume Handsome"?
Mimi kwangu issue ya kuangalia mindset imenipatia majibu mazuri sana.Kwa iyo brother; ile ya kuchangua "mindset" nzuri ya mwanamke, kuifanyia mentorship na kuiwezesha, haifanyi kazi na haileti matunda siku hizi? 😊
Hata hivyo siwapingi; mna dunia yenu. 😊
Mimi kwangu issue ya kuangalia mindset imenipatia majibu mazuri sana.
Huyo binti tulianza wote nikiwa naishi room moja hadi kufikia hatua ya kumiliki nyumba kadhaa tukiwa pamoja.
So, matunda bado yanapatikana. Ni kuiga mambo ya kipuuzi kunakowa cost vijana.
Kwakweli huwa wanamitako na wazuri kwelikweli.Hapa inahitaji akili izidi hisia😄😄Hao wengi siraha yao ni kustarehesha wanaume na wanaume wamahitaji starehe.Tatizo ndio wenye tako na titi
Na kumjali kwa wivu mkubwa.Ndio, hii ni fact. Wanawake wazuri, wenye "Mindset" nzuri bado wapo japo kwa uchache sana, ni mtu kufanya juhudi kupata mmoja. 😊
KwahiyoNaongelea dating au tuseme mahusiano ya boyfriend and girlfriend. Kuweka commitment kwa broke woman kuna risk kubwa zaidi