Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 14,047
- 39,499
- Thread starter
- #21
Si ushasema kuanza pamoja from scratch, halafu wapi nimesema mwanamke awe tajiri? haujaelewa nilichoandika.Umasikini sio kilema kwamba utakufa nao.... unaweza kuwa na mwanamke hana kitu, mkaanza pamoja from the scratch, then mkaibuka... mifano ipo mingi tu siitaji kuitaja !!!
Binafsi mwanamke wangu ananiofa vingi sana japo sio tajiri kama unavyotaka awe..... kuanzia mawazo, nidhamu ya fedha, uwekezaji n.k
Ondoa mawazo ya kizamani
Hayo mawazo na nidhamu atumie kwanza kuboresha maisha yake ndio aingie kwenye mahusiano.
Kwamba mwanaume ashasimama kiuchumi ndio aje kuhitaji mawazo na miongozo kutoka kwa mwanamke. Totally bullshit