Waepuke wanawake masikini

Waepuke wanawake masikini

"You don't owe any woman the life her parents failed to give her." Hii sentensi inatosha kuwa fundisho la kudumu kwa wanaume wote wanaoendekeza usimp na kutaka kubeba majukumu ya malezi (Usimbela).

Dunia imebadilika sana. Kama mfumo wa sasa unadai usawa wa kijinsia (50/50) kwenye fursa, elimu, na ajira, basi ni lazima kuwe na usawa wa 100% kwenye kubeba majukumu, kuvuja jasho, na kutafuta uchumi.

Hauwezi kudai usawa wa kijinsia asubuhi ukiwa ofisini, halafu jioni ukifika baa au kwenye kodi ya nyumba ukarudi kwenye mfumo wa ukoloni wa kumtegemea mwanaume asilimia mia moja. Huu unaitwa "Opportunistic Equality"
wanawake wajanja wanachagua usawa pale unapowanufaisha na kuukataa pale unapowataka wawajibike.

Mwanaume pambana ujenge himaya yako; mtaji wako, akili yako, na nguvu zako ni kwa ajili ya kuwekeza kwenye kesho yako na kizazi chako, sio kuwa mfuko wa hisani au bima ya dharura ya mwanamke aliyeshindwa kupambana na maisha yake. Usigeuzwe daraja la mwanamke mvivu anayetaka kutumia changamoto za nyumbani kwao kama mtaji wa kukutoa jasho wewe.

Mahusiano yasiwe mradi wa kuondoa umaskini (Poverty Alleviation Scheme). Kama hawezi kuleta mezani akili, mtaji, connections, au msimamo wa kukusaidia kupiga hatua, huyo sio mwenzi wa maisha—huyo ni mchungaji anayetafuta kondoo wa kumnyoa. Amkeni!
 
Mwanamke masikini ni liability. Kaa nae mbali kama bado unajenga maisha yako. Hakuna chochote chenye thamani anachoweza kuchangia kwenye mahusiano. Hawezi kukupa hela, connections za michongo wala kukusuluhishia tatizo lako lolote.

Hata ukiwa kwenye mahusiano na mwanamke masikini. Ukapata mwanamke mwingine mwenye tabia nzuri na anajimudu mahitaji yake au anatokea kwenye familia yenye connections(za kisiasa, biashara n.k), basi achana na yule masikini. Kwa sababu masikini ni liability, na yule mwenye hela/connections ni asset. Mwanaume daima yaangalie mahusiano kwa jicho la kibiashara kama wafanyavyo wanawake

Usijifanye shujaa kwenye maisha ya mwanamke masikini. Hauhusiki na umasikini wa mwanamke Umasikini wa mwanamke sio tatizo lako, ni tatizo lake na familia yake. You don't owe any woman the life her parents failed to give her.

Mwanamke masikini ana njaa, ana bill za kulipa, na anajua mahusiano ndio nafasi rahisi kutua mzigo wake. Kumbuka yeye anapotua mzigo wake, mzigo huo utaubeba wewe kwa sababu utataka kudhihirisha upendo na uanaume wako kwa kubeba jukumu la kumtimizia mahitaji yake.

Hapa sio lazima akuombe hela,kwa sababu tayari yupo kwenye maisha yako utajiona una wajibu wa kumpa hela. Hivyo vielfu 10 utaona sio chochote. Ghafla utashangaa hela yako haikai na kuanza kujiuliza sijaenda club, sijanunua nguo, hela imeenda wapi? Jibu ni rahisi, kuna liability umeiongeza kwenye maisha yako.

Tupo kwenye dunia ya usawa wa kijinsia. Mwanamke kapewa fursa zote alizopewa mwanaume. Hakuna kisingizio chochote cha mwanamke kuingia kwenye mahusiano akiwa masikini na kutaka atimiziwe mahitaji yake na mwanaume. Mwanamke masikini apambane kwanza kutengeneza maisha yake ndio aingie kwenye mahusiano, vinginevyo atumike kama chombo cha starehe.

Brozos, broke women don't date for love, they date to survive. You saw a future she saw an opportunity, and temporary bonding grease called "love" blinded you because you never questioned the uncertainty.

Brozo, a broke woman will slow you down and still leave you in the end when she see no significant progress.

Don’t be a simp.
Anakuwa nibebe Kila siku!
 
"You don't owe any woman the life her parents failed to give her." Hii sentensi inatosha kuwa fundisho la kudumu kwa wanaume wote wanaoendekeza usimp na kutaka kubeba majukumu ya malezi (Usimbela).

Dunia imebadilika sana. Kama mfumo wa sasa unadai usawa wa kijinsia (50/50) kwenye fursa, elimu, na ajira, basi ni lazima kuwe na usawa wa 100% kwenye kubeba majukumu, kuvuja jasho, na kutafuta uchumi.

Hauwezi kudai usawa wa kijinsia asubuhi ukiwa ofisini, halafu jioni ukifika baa au kwenye kodi ya nyumba ukarudi kwenye mfumo wa ukoloni wa kumtegemea mwanaume asilimia mia moja. Huu unaitwa "Opportunistic Equality"
wanawake wajanja wanachagua usawa pale unapowanufaisha na kuukataa pale unapowataka wawajibike.

Mwanaume pambana ujenge himaya yako; mtaji wako, akili yako, na nguvu zako ni kwa ajili ya kuwekeza kwenye kesho yako na kizazi chako, sio kuwa mfuko wa hisani au bima ya dharura ya mwanamke aliyeshindwa kupambana na maisha yake. Usigeuzwe daraja la mwanamke mvivu anayetaka kutumia changamoto za nyumbani kwao kama mtaji wa kukutoa jasho wewe.

Mahusiano yasiwe mradi wa kuondoa umaskini (Poverty Alleviation Scheme). Kama hawezi kuleta mezani akili, mtaji, connections, au msimamo wa kukusaidia kupiga hatua, huyo sio mwenzi wa maisha—huyo ni mchungaji anayetafuta kondoo wa kumnyoa. Amkeni!
Tumetengeza kasumba mbaya sana ya kuwaaminisha wanawake kujenga maisha yao ni option, sio wajibu. Kwa maana hata asipofanya hivyo anaweza ku-survive kwa kuhudumiwa mahitaji yake na mwanaume.

Ndio maana hata wao wenyewe wakianza kujilipia bill zao wanajiita super woman, independent woman na majina mengine ya kishujaa kwa sababu wanaona ni kama wanafanya kitu kinachostahili nobke prize, wakati huo ni wajibu wa kawaida kabisa kwa kila mtu mzima.

Inashangaza sana kuona mwanaume na mwanamke ambao wamepitishwa kwenye mfumo mmoja wa fursa sawa eti wakifika last resort mwanaume abebe jukumu la kumwinua mwanamke
 
Anakuwa nibebe Kila siku!
Na pamoja na sacrifices na investments zako hakuna guarantee kwamba ataendelea kuwa loyal kwako maisha yake yote. Tena ukikutana na mshenzi atakutumia kama ngazi akitoboa anaenda kwenye makongamano yao kujiita super woman na kusema ulimzuia kutimiza ndoto zake ndio maana akaondoka awe huru
 
Mi sipendi pisi za kimaskini... Siku nikimpata mtoto wa Mama Samia nitat@mba mpaka nimpe mimba nimuoe... yaani hicho kitombo mpaka nitalazwa pale Makandana.
Nenda dodoma kavizie vizie getini. Si yupo pale ni naibu waziri wa elimu
 
Back
Top Bottom