makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 36,873
- 106,796
Hii mada ni pana sana.. tukianza kuichambua tutapata vimada vidogo vidogo kibwena mzee mwenzangu.Masikini ni liability mzee mwenzangu. Tutaizungusha zungusha tu hiyo maana tu ili isiumize hisia zetu. Inawezekana tayari usha-settle au usha-fall in love kwa mwanamke masikini lakini hiyo haiondoi ukweli kwamba masikini ni liability. Haji kuongeza chochote, anakuja kuchukua na kukuchelewesha.
Kijana wako wa kiume akitaka kuoa chunguza mkwe wako anatoka kwenye familia gani. Kama binti anatokea kwenye absolutely poverty family, zuia hiyo ndoa mara moja kwa maana kijana wako anaenda kubeba mzigo mkubwa wa kuhudumia ukoo mzima
MIe naamini mwanaume ni provider zaidi, mwanamke kwangu aje anitulize mahangaiko ya nafsi na mengineyo, ikitokea ana kipato hiyo ni nyomgeza na kipato chake kisiniharibie yale mahitaji yake kwangu.
Ukisema hivyo mzee mwenzangu tutaangukia kule kule vijana wanaposemaga tutafute pesa, ukiwa na pesa nzuri hata umaskini wa familia yake haukuumizi...
Kuna msenge m1 mtaani alienda kuoa huko mkoani, ile kupeleka mahari kukubaliwa tu, akapigia simu mafundi toka dar, wakapima ghorofa ikaanza kushushwa.. yupo na mkewe wanakula maisha
