Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 41,983
- 12,702
watoto dizaini hiyo huwa watamu km kambale,kwenye samwel sita wanabinjuka sarakasi mchina haoni ndani
Samwel sita!!
watoto dizaini hiyo huwa watamu km kambale,kwenye samwel sita wanabinjuka sarakasi mchina haoni ndani
kwa mtu anayejiheshimu hafanyi huu ******.
watoto dizaini hiyo huwa watamu km kambale,kwenye samwel sita wanabinjuka sarakasi mchina haoni ndani
​tabia za ushankupe na uswahili uliopitiliza
watoto dizaini hiyo huwa watamu km kambale,kwenye samwel sita wanabinjuka sarakasi mchina haoni ndani
Hii tabia ipo, tena siyo wadada tu
hata wamama watu wazima wanafanya hivyo,
tatizo ni kuwa haya manguo yanauzwa redemeidi,
hivyo yanakuwa marefu sana. Kuweka sawa unalipachika tu
kwenye gagulo na unachapa mwendo.
Uswahili ni wapi?
.. Mambo ya tandale kwa tumbo tena utakuta anatembea na vimatako vinamwagika kushoto na kulia.....biashara ni matangazo jamaa yangu.hasa kina mwazani sikudhani ndio zao...
Sisy wangu hiyo shuhuli ni kituko,yani unakuta mashosti wa mdada aliyejifungua wamnunulia mtoto yale mabesen yanakuwa yamejazwa vikorokoro kwa ajili ya mtoto vitu km sabuni za kuogea,nepi,poda za watoto nk,sasa wanakodisha wapiga mdundiko wanawasindikiza kupeleka hilo besen hapo wanakuwa wamelewa haswa huko njiani sasa uchomekeaji wake ni hatari wanavyokata mauno njia nzima ndio usiseme!!!Baby sis shughuli ya beseni ndo nini? Unichukue kesho basi tukagate crush,ntakununulia dera ila kichomekeo utajitegemea
Hii niliifotoa maeneo ya Tabata Mawenzi siku ya Jumapili, Huyu Binti alikuwa amefuatana na wenzie anaenda Ngomani huko Tandale kwa Mkunduge, nikavutiwa na hiyo staili yake ya kivazi, nikamfotoa nikijua picha hiyo itanifaa huko mbeleni....................Uliwavizia wapi hawa,
au ndo pita pita za Valentine day.
Nawe upunguze mkuyat, huo ukuni nao utatuliaDah, kaaz kweli kweli! Ukikuta mtoto wa kiswahili/kuku wa kienyeji aliyenona haswa halafu kachomekea chupini utamtaka! Binafsi huwa napata wakati mgumu sana, yani ukuni huwa unakakamaa kishenz! Naomba muendelee hvyo hvyo vichenchede wangu!