Wachaga Special Thread

Wachaga Special Thread

Salama humu jaman.. Mi napita, kwa anayehitaji bastola tuwasiliane.
 
What I hate about being a Chagga ni kutojua kiChagga...huwa najisikia am less of a Chagga kila wenzangu wakianza kukimwaga mitandaoni. Inabidi mitafute rafiki wa kike anayejua kiChagga nipige tuition! Am serious...

haaaiye....MAMNDENYI,, kuna mtu anahitaji msaada
 
chrismas i:bange:nakaribia Chuwa, temba,lyimo,njau, shayo, shao, riwa, massawe, masika, materu, moshi, mosha, lema, mmari,mmary, nyambo, mtenga, mrema, mremi, ngowi, minde, urassa, sendeu, mareale,kimaro, kimario, na wengine waoooote :car:mjipange kuja nyumbani kusherekea..😛arty:
 
Natafuta wa kunifundisha kichaga jamani,nawaonea raha wenzangu wanaokijua mie nmebak jina tuuu
 
Back
Top Bottom