shansarie
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 5,690
- 3,370
Sasa aibu ya nini mkuu. Mbona kikwetu ukimuagiza mtoto kuleta fimbo unamwambia enennde ------...
Hiyo nzuri hivi fimbo sie ni (m..s..e..n..g..e)
Sasa aibu ya nini mkuu. Mbona kikwetu ukimuagiza mtoto kuleta fimbo unamwambia enennde ------...
Siku zote nilikuwa najiuliza kwanini uko active sana kuitetea Chadema...
Mdada wa machame ani PM
Khaaa!
Na m.bo.o tena humu zinatafuta nini ?
Hii Sredi inahitaji maombi maalum!
Hebu wachagga waniambie nyati anaitwaje kwa lugha yetu...
hapo juu nimeandika fimbo kirombo ikagoma kuandikika...
Naona niweke thread hii itakayokuwa inajadili mambo yanayohusiana na sisi wachanga
Kwanza nianze kwa kuuliza: Hivi Wachaga ni kabila, au ni mkusanyiko wa makabila? Maana makabila mengine mengi wenzetu wana lugha moja ya kikabila. Ila sisi tuna vilugha zaidi ya 10 tofauti! Kwa nini?
Kwa mfano mimi nikiandika kwa kichaga cha kwetu (kiseri) kusema "Naomba maji ya kunywa", ni "Nglihemba mringa wenywa"
Hivi kwa wale ambao sio waseri, hapo mtasemaje? (naamini lugha zitatofautiana sana)....
mboo-nsafooo clemeeee..
What I hate about being a Chagga ni kutojua kiChagga...huwa najisikia am less of a Chagga kila wenzangu wakianza kukimwaga mitandaoni. Inabidi mitafute rafiki wa kike anayejua kiChagga nipige tuition! Am serious...
Hiyo nzuri hivi fimbo sie ni (m..s..e..n..g..e)
Hapa mshaniacha sasa... unaona? ila nimeelewa kidogo
aika = kaaho (kikwetu)
monowama = ?
Ruwa = Ruva
nakuringe = akuringe
umarise maka chu = umae mwaka u
necha = undusha
Dictionary ya kichagga inatakiwa iandikwe...
Thread kama hizi sio zina promote ukabila? ...I am just asking!
hiyo ni bakora...ya kutembelea....rungu/fimbo kwa wakibosho ni Mbiidi... bakora iliyopinda ni M...se..n.ge,..sijui iliyotengenezwa tofauti.
dea utondo ..iketi lya duu......watu wanaulizia variation za origin yao zimetoka wapi.Wewe kwa unyonge wako dhidi ya kabila lako unataka iangalia kwa fikra za mwenyekiti.