yani nimeingia kwenye sherehe alafu nikakuta wenzangu wote meno yameungua..nikastuka nimevamia kambi hapa ngoja niwaite wahusika...
yani nimeingia kwenye sherehe alafu nikakuta wenzangu wote meno yameungua..nikastuka nimevamia kambi hapa ngoja niwaite wahusika...
Iliandikwa kwa kichaga cha wapi mkuu...
Nyisembo tee leechi ta kindo lichaaamba
Ungekuwa unakunywa mbege ungekuwa na akili nzuri!!
ndio mchango wako....huo ?Kukei mbusu ehe...ichomba nyi ichomba tubu.
Ungekuwa unakunywa mbege ungekuwa na akili nzuri!!
hahhaaaa haya mlango ulioingilia ndio tokea huo huo.............
tuko hapa Rombo tunajadili mawili matatu
hahhaaaa haya mlango ulioingilia ndio tokea huo huo.............
tuko hapa Rombo tunajadili mawili matatu
kwa taarif ayako watu walioharibika meno ni waarusha ..wachaga wachache tofauti na unavyodhani.Tena kwa kiasi unachoweza kikuta ktk sehmu nyingine za nchi..tofauti na nchi km Russia
Kuna mtu kaingilia mlango sio?
Aika mbe