Wachaga Special Thread

Wachaga Special Thread

What I hate about being a Chagga ni kutojua kiChagga...huwa najisikia am less of a Chagga kila wenzangu wakianza kukimwaga mitandaoni. Inabidi mitafute rafiki wa kike anayejua kiChagga nipige tuition! Am serious...
Riwa kwanini utafute rafiki wa kike na siyo wa kiume!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Hii thread imenikumbusha Mamsera kwa Mwarabu. Jamaa anachoma mbuzi kiasi kwamba mbuzi wakimuana wanamwaga michozi. Nikiwa naelekea kwetu kuzuri lazima nisimame pale.

Karibuni kwetu Rombo. Kuna mtaa unaitwa Kiboro. Mi naupenda sana mtaa ule walahi..,

Yani chapchap sana Kaizer kuja pande hii tuangalie namna ya kwenda kufanya hija December.
 
Last edited by a moderator:
Namimi nitaanzisha "Wamakonde special thread" watu tunaakili za kuzaliwa, achana na wachaga wanaopata akili zao shule..
"proud to be makonde".
 
Alisema Nyerere Makabila yamebaki kwa ajili ya kutambika tu hamna kingine
 
Ni lugha yangu ila naaona aibu pale unapoamka asubuhi ukikitana na mama napaswa kumsalimu NANTOMA na nababa Unamsalim NANTOMBE da inakuwaga ngumu kweli hapo pengine sababu sijaizoea lugha Tuko nyie mnasalimiaje asubuhi
 
Last edited by a moderator:
Naona niweke thread hii itakayokuwa inajadili mambo yanayohusiana na sisi wachanga


Kwanza nianze kwa kuuliza: Hivi Wachaga ni kabila, au ni mkusanyiko wa makabila? Maana makabila mengine mengi wenzetu wana lugha moja ya kikabila. Ila sisi tuna vilugha zaidi ya 10 tofauti! Kwa nini?

Kwa mfano mimi nikiandika kwa kichaga cha kwetu (kiseri) kusema "Naomba maji ya kunywa", ni "Nglihemba mringa wenywa"

Hivi kwa wale ambao sio waseri, hapo mtasemaje? (naamini lugha zitatofautiana sana)....

Kibosho.... Ngiterewa muuda we nna!! Naomba maji ya kunywa
 
Hii thread imenikumbusha Mamsera kwa Mwarabu. Jamaa anachoma mbuzi kiasi kwamba mbuzi wakimuana wanamwaga michozi. Nikiwa naelekea kwetu kuzuri lazima nisimame pale.

Karibuni kwetu Rombo. Kuna mtaa unaitwa Kiboro. Mi naupenda sana mtaa ule walahi..,

Yani chapchap sana Kaizer kuja pande hii tuangalie namna ya kwenda kufanya hija December.
Kiboro siku hizi pamechangamka mkuu. Pana hadi kiplefti..lol
 
Last edited by a moderator:
Ni lugha yangu ila naaona aibu pale unapoamka asubuhi ukikitana na mama napaswa kumsalimu NANTOMA na nababa Unamsalim NANTOMBE da inakuwaga ngumu kweli hapo pengine sababu sijaizoea lugha Tuko nyie mnasalimiaje asubuhi

Sasa aibu ya nini mkuu. Mbona kikwetu ukimuagiza mtoto kuleta fimbo unamwambia enennde ------...
 
Last edited by a moderator:
Naona niweke thread hii itakayokuwa inajadili mambo yanayohusiana na sisi wachanga


Kwanza nianze kwa kuuliza: Hivi Wachaga ni kabila, au ni mkusanyiko wa makabila? Maana makabila mengine mengi wenzetu wana lugha moja ya kikabila. Ila sisi tuna vilugha zaidi ya 10 tofauti! Kwa nini?

Kwa mfano mimi nikiandika kwa kichaga cha kwetu (kiseri) kusema "Naomba maji ya kunywa", ni "Nglihemba mringa wenywa"

Hivi kwa wale ambao sio waseri, hapo mtasemaje? (naamini lugha zitatofautiana sana)....

Cc 2013 Nicholas Nyakageni MOSSAD II haya nyie wachaga njoeni mchangie hio mbege zenu huku!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom