Riwa hapo kwa kweli ni mtihani maana na dada zetu wenyewe kuongea ni balaa hata kama amezaliwa na kukulia kule atajifanya hajui kabisa kichaggaWhat I hate about being a Chagga ni kutojua kiChagga...huwa najisikia am less of a Chagga kila wenzangu wakianza kukimwaga mitandaoni. Inabidi mitafute rafiki wa kike anayejua kiChagga nipige tuition! Am serious...
Wengine hata sisi tunaibia ibia kile cha juu juu maana ukikaa na wale wabibi na wababu wa kichangaa unajikuta unamung'unya maneno
Tuko monowama hapo ni kama ndugu yanguHapa mshaniacha sasa... unaona? ila nimeelewa kidogo
aika = kaaho (kikwetu)
monowama = ?
Ruwa = Ruva
nakuringe = akuringe
umarise maka chu = umae mwaka u
necha = undusha
Dictionary ya kichagga inatakiwa iandikwe...
Last edited by a moderator: