Tungekuwa na makabila 5 makubwa kama wachaga apa nchini basi tungekuwa mbali sana kwa maendeleo. Wachaga wana mwamko hali ya juu wa maendeleo. Watayatafuta kwa njia yoyote, hata ikilazimu kutembea kwa miguu toka Moshi hadi Mbeya! Big up chagas, your success is inspiration kwa wengine. Makabila ya Pwani na central: acheni wivu na kuwekeana kauzibe, fanyeni kazi!
Mpiga domo usijali nitakujiri uwe mpambe wangu...........manake unavyojuwa kufagilia!!!??? hiv wewe roho yako imesuuzika livyoona watu wanaedesha magari ya kifahari.....kwe umbulula
Subirini waje hapa wale chasaka uone coment zao hawata kuelewa mpaka na wenyewe wakashuhudie kama tomaso
Mpiga domo usijali nitakujiri uwe mpambe wangu...........manake unavyojuwa kufagilia!!!??? hiv wewe roho yako imesuuzika livyoona watu wanaedesha magari ya kifahari.....kwe umbulula
wacha wivu wa kijinga,.
Du!hebu niunganishie kwa Manka au Haika anipe raha.
We umejifunza nini?
Pasco Mchaga nini? naona analike tu.
pasco hana wivu wa kijinga anawakubali sana wachaga nahisi hata yeye atakua ni mchaga
Au kaoa Mchaga. Pasco ni mtu wa maslahi kwanza sana.
Wakuu mimi si mchaga ila nimemsindikiza jana rafiki yangu huko kwao kilimanjaro.
Sasa nipo huku marangu, ilaa sasa hizi gari ninaziona huku ni balaa yan utafikiri nipo mjini dar es salaam kumbe ni kijijin marangu.
Range Rover Sports hizi za mwaka 2012 nimeshaziona kama nane hadi sa hivi, nimeona pia mikoko ya bmw x6 kwa wingi , yan kwa ufupi kuna gari za kufa mtuuuuuuu.
Big up sana wachaga mpo vizuri kwenye kutafuta dough.
Naomba Kuwasilisha
Mkuu yapo
i. Wachagga
ii. Wahaya
iii. Wanyakyusa
iv.
v.
Malizieni hayo mawili
hahahahahaha
Wakuu mimi si mchaga ila nimemsindikiza jana rafiki yangu huko kwao kilimanjaro.
Sasa nipo huku marangu, ilaa sasa hizi gari ninaziona huku ni balaa yan utafikiri nipo mjini dar es salaam kumbe ni kijijin marangu.
Range Rover Sports hizi za mwaka 2012 nimeshaziona kama nane hadi sa hivi, nimeona pia mikoko ya bmw x6 kwa wingi , yan kwa ufupi kuna gari za kufa mtuuuuuuu.
Big up sana wachaga mpo vizuri kwenye kutafuta dough.
Naomba Kuwasilisha
Usicheke. Mi mwenyewe mtu wa maslahi.
Nakuja huko kuchukua Familia yangu, kama bado uko huko kesho natua, ntakuwa weruweru lodge.
Nyie wa kuja ndo hamjui! Sisi tunajua! Walioko huku Kilimanjaro tunajua kuwa wengi hukodisha hayo mnayoyaita ma range na nini sijui! Ngoja lipate ajali ndo utajua lake ama vipi!
sifia mchaga uone comment za kijinga, kwani makabila mengine hakuna magari acheni, umetokea mkoa gani hadi unashangaaaaaaaaaaa magari nyambafu