Wachaga ni Noma!

Wachaga ni Noma!

Tuje kwenye reality. Is there any necessity to hire a massive car just for show off? Kama wewe ni mtafutaji huitaji watu wakusifu kwa hizo gari bali kwa wewe the way you are! Huo ni ushamba! Mkuu amini hawa jamaa wana nyumba za hatari huku kwao! Hawawezi kulala humo! Kwao siku hizi wamezidisha mataahira (sio wote)! Logwa umwambie mzee wa kichaga kuwa unampeleka dar kwa matibabu! Thubutu!

Mkuiu kwa yule mwenye hadhi ya kukodi hizo gari za ghali na kumudu kuziendesha kwa yake na familia yake huyo nitamheshimu si kwa sababu ameenda na hilo gari ili kuwatambishia wenzake bali kwa kujitahidi kuwa na kupenda cha ghali na kweli uwezo awe nao na si kuwatambishia wenzake huku uwezo ni mdogo. Na kwa wale wanakuwa na huo mwelekeo wa kijinga wa kuwatoa wenzao kafara ili wapate hao siwezi kuwaheshimu hata kama wangetumia ndege zao binafsi na viwanja vyao binafsi vya ndege kwan hawatofautiani na shetan mtoa roho
 
Wapo juu hatakama hamtaki na uwakute wanaongea kiswahili chao na lafudhi ilee hahaha? Acha kabisa utasikia?
"eembu tushukiee apo chini chapu nikupe elufutano.ugeuke apo maramoja?"
 
Bigup Mangies,mimi niko Machame nimemtembelea rafiki yangu, kuna jamaa wamekuja na Chopa leo mchana na imepaki nyumbani kwa mmilik ambaye ni jirani na nyumbani kwa rafiki yangu
 
Ndio maana tunatafuta kwa bidii mkuu,na tena dada zenu waambieni wacheze.mbali kabisa na kaka zetu aisee maana risasi zitawaishia wasipochunga,hela ya mchaga hailiwi ovyo buashee
 
Lakini Mkuu wapo kabila nyingine wamefanikiwa sana hapa mjini,lakini kwao anakwenda je wakati kati ya nyumba 100 ni ya kwake peke yake inafaa hivyo anajikuta katika mzingira ya kujiona kwamba anaringa hata kujikuta kwenye imani ya kulogwa
 
mimi nilishawakubali siku nyingi wachaga,wana spirit ya ajabu kwenye kusaka maendeleo,si wanawake si wanaume..wajomba zangu na mama zangu wazaramo kutwa kushinda barazani kumpiga majungu mayasa na sikuzani![/QU asante!!
 
I proud to be a chagga, nimemaliza kadegree kangu mwaka huu, nataka baada ya miaka 5 nikae na wazee na mimi niongee bse uchagani bila nyumba na pesa unaonekana ---- tu....ngoja nikapigane aisee
 
I proud to be a chagga, nimemaliza kadegree kangu mwaka huu, nataka baada ya miaka 5 nikae na wazee na mimi niongee bse uchagani bila nyumba na pesa unaonekana ---- tu....ngoja nikapigane aisee

Umesoma procurement nini Mangi MTIRO!
 
I proud to be a chagga, nimemaliza kadegree kangu mwaka huu, nataka baada ya miaka 5 nikae na wazee na mimi niongee bse uchagani bila nyumba na pesa unaonekana ---- tu....ngoja nikapigane aisee

Ukapiganee? Au ukaibe serikalini!?
Hebu tuweke sawa hapo!!
 
Moja ya kitu wanachopatia ni kukumbuka nyumbani na kutosahau elimu.
Kwahilo wanastahili pongezi.

Kweli hawa jamaa wanathamini sana vijijini kwao walikotoka na ndio maana utaona wanajenga majumba ya nguvu kuliko hata baadhi ya nyumba zilizopo mijini. Hii inasaidia hata wanapokuwa huko vijijini hawaoni tofauti na huduma zilizopo mijini mfano maji, umeme na barabara. Kuna watu wa makabila mengine wakishatoka kwao na kuwa mijini kama Dar wanasahau kabisa kwao hawaendi hata zaidi ya mika 5, 10 au 20 na wengi huishia kuzikwa mijini kwasababu kwao kulishateketea. Lakini wachagga wanasafirisha marehemu wao kila siku kwasababu walishaweka mazingira mazuri nyumbani. Wanapokuwa kuwa vijijini kwao nyakati za mwisho wa mwaka pamoja na mapumziko ya sikukuu huwa wanafanya tathimini ya maendeleo kama ujenzi, kujadili matatizo mbali mbali ya kijamii na kuona namna wanavyoweza kushiriikiana kuyatatua. Wengine ndio nyakati za kufunga ndoa, vipaimara, ubatizo, elimu nk. Vitu hivyo vinapendeza kuvifanyia nyumbani kwenu kwa asili. Sasa wengine wanaishi mijini kama wakimbizi. Ndoa, vipaimara, ubarikio, ubatizo, mazishi nk vyote wanafanyia mijini kwasababu kwao mazingira ni ya aibu kutokana na kutojali walikotokea.Tujenge tabia ya kufanya maendeleo katika vijiji vyetu badala ya kujenga majumba mijini tu na kununua magari ya fahari wakati mazingira yetu ya asili ni mabaya sana. Hongera wachagga!
 
Basi nitaoa mchaga ili watoto wangu wawe wanaenda kwa bibi uchagani Christmas wajifunze haha
 
nadhani mimi ninadamu ya kimasai labda, kwanini pesa haiji upande wangu kama hawa wengine, kweli tunachpana fimbo n inatia hasira. wakija huku dadazao na watoto wao ndio wanawapa waendeshe. hiyo migoko nataman kujificha!
 
Sababu nyingine ninayoiona wengi wanakuja kutambiana na kuchapana bakora za macho na moyoni.
Nanyie mkifanya hivyo nahuhakika next time kila mtu ataongeza juhudi kwenye utafutaji.Hapo maendeleo yatakuwa yakwenu nasiyamwingine.
 
majambazi yamepungua sana mjini hapa,kumbe yako moshi yanakula sikukuu kwi kwi kwi xmass ingekuwa mwaka mzima ingekuwa raha sana
Invisible......huu ni udhalilishaji...Arawa Mentor kenjoo na kunu wawaee...Ngamuwadaa njingapaaaaa
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom