Namna mojawapo ya kujitanua na kujionyesha ni kusimulia kama third party. We ni mchaga wa Marangu umeona ukijisemea tutakuona pi.mbi lakini ka ni hivyo pole tu pia.
Noma si kuwa na kamkweche, gari ni kaburi tu. Wengine tunayo ila hatujitapi nayo humu jf. Njoo chukua funguo ukaoneshe kwenu. Si tunaita kuosha jina ka hao walivyokwenda osha jina huko kwao.
Noma si kuwa na kamkweche, gari ni kaburi tu. Wengine tunayo ila hatujitapi nayo humu jf. Njoo chukua funguo ukaoneshe kwenu. Si tunaita kuosha jina ka hao walivyokwenda osha jina huko kwao.