jogoolashamba
JF-Expert Member
- Nov 18, 2012
- 348
- 71
Jogoolashamba, mji utawika kweli?
Kweli aisee mimi jibu nakuachia wewe tukalitafute huko Ngurudoto! Au basi chagua wewe kwa sababu mie kazi yangu ni kuwika tu, hata porini ukitaka.
Jogoolashamba, mji utawika kweli?
Chasaka ndo mdudu gani..????
Hili ndo Tatizo kuu la ndugu zangu! Ukiwapinga sio mchaga! Nani kati ya wewe ujae leo na mimi niishie hapa! Umweli ni kuwa baadhi yenu muishio nje ya Kilimanjaro huwa mnatamani kututishia kuwa mnazo! Ukweli ni plae mtakapofikia kuondoka. MARK my word utanambia ndugu! Mikopo mimgiiiii!
hongera mkuu kwa kukubaliana na hilo,wengi wanatujengea chuki kwa hili suala
Hata makabila mengine wana hayo magari na maisha mazuri sana, ila wengi wao wakishafanikiwa hawarudi makwao tena hawapapendi, hata watoto wao utakuta wanajitapa kijinga eti ooh unajua mimi asili yangu ni Namtumbo lakini sijawahi kufika, you know even My Dad ame settle hapahapa Dar. Sasa ndio hawa wakifika kwa wachaga wanashangaa nakuweka POST JF. Nilishawahi kufika sehemu moja Moro kwao na jamaa yangu kwakweli nilisikitika sana maana Hadhi na mali walizonazo Dar haziendani na kwao, tena Grandparents wote wapo lakini wanapoishi sasa!!!1 Jamaa akaanza kujibalaguza kwakusema eti Baba yake kawashawishi sana wazee hao kuhamia Dar ila wamegoma. Wachagga wana invest Mjini lakini wanahakikisha wanajenga kwao tena nyumba ya maana na wenzake wakiona mjengo nao wanahakikisha wanajenga na ndio maana kunazidi kuwa pazuri sana. WANA SPIRIT YA MAENDELEO NA ZAIDI WANAPAPENDA SANA KWAO . Tuige kutoka kwao. Makabila yote TZ tungekuwa kama hawa jamaa na makabila ya mbeya na Kagera basi kwa kiasi fulani tusingekuwa hapa. PIA TUACHE KUWAPIGA MAJUNGU ETI SERIKALI INAPAPENDELEA KWAO, WAKATI WAO NDIO WANAOPAPENDA KWAO.
Nyie wa kuja ndo hamjui! Sisi tunajua! Walioko huku Kilimanjaro tunajua kuwa wengi hukodisha hayo mnayoyaita ma range na nini sijui! Ngoja lipate ajali ndo utajua lake ama vipi!
Wakuu mimi si mchaga ila nimemsindikiza jana rafiki yangu huko kwao kilimanjaro.
Sasa nipo huku marangu, ilaa sasa hizi gari ninaziona huku ni balaa yan utafikiri nipo mjini dar es salaam kumbe ni kijijin marangu.
Range Rover Sports hizi za mwaka 2012 nimeshaziona kama nane hadi sa hivi, nimeona pia mikoko ya bmw x6 kwa wingi , yan kwa ufupi kuna gari za kufa mtuuuuuuu.
Big up sana wachaga mpo vizuri kwenye kutafuta dough.
Naomba Kuwasilisha
Nyie wa kuja ndo hamjui! Sisi tunajua! Walioko huku Kilimanjaro tunajua kuwa wengi hukodisha hayo mnayoyaita ma range na nini sijui! Ngoja lipate ajali ndo utajua lake ama vipi!
Wakuu mimi si mchaga ila nimemsindikiza jana rafiki yangu huko kwao kilimanjaro.
Sasa nipo huku marangu, ilaa sasa hizi gari ninaziona huku ni balaa yan utafikiri nipo mjini dar es salaam kumbe ni kijijin marangu.
Range Rover Sports hizi za mwaka 2012 nimeshaziona kama nane hadi sa hivi, nimeona pia mikoko ya bmw x6 kwa wingi , yan kwa ufupi kuna gari za kufa mtuuuuuuu.
Big up sana wachaga mpo vizuri kwenye kutafuta dough.
Naomba Kuwasilisha