Wachaga ni Noma!

Wachaga ni Noma!

Ila shida wanarogana sana. Takribani kila nyumba ina zezeta ndani. Wao wanaita MAFUSO.
 
Great to be back in JF, i had a great time too in Marangu Kilimanjaro for my 2014 christmass, beautiful people lovely weather
 
Go east go west home is the best...xmass inapoisha unatamani nyingine ifike, ndio mda wa kurepea nyumba, kupaka rangi upya, kula nyama za kutosha, kupaki gari nzuri na kadhalika, hii kitu ipo sana Japan, wanaita Golden week.
 
Hili ndo Tatizo kuu la ndugu zangu! Ukiwapinga sio mchaga! Nani kati ya wewe ujae leo na mimi niishie hapa! Umweli ni kuwa baadhi yenu muishio nje ya Kilimanjaro huwa mnatamani kututishia kuwa mnazo! Ukweli ni plae mtakapofikia kuondoka. MARK my word utanambia ndugu! Mikopo mimgiiiii!

Aisee unaongelea baadhi tu, wengi wana pesa zao mkuu, Kilimanjaro ndio mkoa ambao umejengwa mijengo mizuri hadi vijijini ndani, hayo yote unayosema yapo kila mahali, watu wameenda shule, wana biashara zao, kumiliki nyumba na Magari sio kitu cha ajabu kama una biashara zinaingiza pesa
 
Mnaoponda acheni wivu, igeni Yale mazuri, kwangu Mimi hakuna kitu kizuri kama kula xmass na wazazi na ndugu zangu nyumbani moshi
 
Hata makabila mengine wana hayo magari na maisha mazuri sana, ila wengi wao wakishafanikiwa hawarudi makwao tena hawapapendi, hata watoto wao utakuta wanajitapa kijinga eti ooh unajua mimi asili yangu ni Namtumbo lakini sijawahi kufika, you know even My Dad ame settle hapahapa Dar. Sasa ndio hawa wakifika kwa wachaga wanashangaa nakuweka POST JF. Nilishawahi kufika sehemu moja Moro kwao na jamaa yangu kwakweli nilisikitika sana maana Hadhi na mali walizonazo Dar haziendani na kwao, tena Grandparents wote wapo lakini wanapoishi sasa!!!1 Jamaa akaanza kujibalaguza kwakusema eti Baba yake kawashawishi sana wazee hao kuhamia Dar ila wamegoma. Wachagga wana invest Mjini lakini wanahakikisha wanajenga kwao tena nyumba ya maana na wenzake wakiona mjengo nao wanahakikisha wanajenga na ndio maana kunazidi kuwa pazuri sana. WANA SPIRIT YA MAENDELEO NA ZAIDI WANAPAPENDA SANA KWAO . Tuige kutoka kwao. Makabila yote TZ tungekuwa kama hawa jamaa na makabila ya mbeya na Kagera basi kwa kiasi fulani tusingekuwa hapa. PIA TUACHE KUWAPIGA MAJUNGU ETI SERIKALI INAPAPENDELEA KWAO, WAKATI WAO NDIO WANAOPAPENDA KWAO.

Kweli mkuu, makabila mengi tu watu wana pesa nyingi, tatizo ni utamaduni wa kujenga nyumbani na kwenda kufurahia sikukuu na wazee wetu. Makabila mengine waige mfano huu, kama ni Magari kila kabila yapo
 
Nyie wa kuja ndo hamjui! Sisi tunajua! Walioko huku Kilimanjaro tunajua kuwa wengi hukodisha hayo mnayoyaita ma range na nini sijui! Ngoja lipate ajali ndo utajua lake ama vipi!

Hahahahahaaaaaaa. Kumbe eehh.!!
 
Ni kweli wachagga wengi ni wachapa kazi na tena ni wavumilivu sana. Utakuta mchagga ana millioni 200 lakini amechafuka vumbi na anafanya kazi kwenye jua kali, anatembea kwa miguu umbali mrefu mpaka unajiuliza sasa huyu jamaa vp? Lakini anajua afanyacho. Ila nawashauri kuwekeza kwenye biashara kubwa zaidi na kuachana na biashara ndogondogo za kuuza na kununua wakati mtu una miliioni 800!
 
Wakuu mimi si mchaga ila nimemsindikiza jana rafiki yangu huko kwao kilimanjaro.

Sasa nipo huku marangu, ilaa sasa hizi gari ninaziona huku ni balaa yan utafikiri nipo mjini dar es salaam kumbe ni kijijin marangu.

Range Rover Sports hizi za mwaka 2012 nimeshaziona kama nane hadi sa hivi, nimeona pia mikoko ya bmw x6 kwa wingi , yan kwa ufupi kuna gari za kufa mtuuuuuuu.

Big up sana wachaga mpo vizuri kwenye kutafuta dough.

Naomba Kuwasilisha

Marangu ipi mtoni au?
 
Nyie wa kuja ndo hamjui! Sisi tunajua! Walioko huku Kilimanjaro tunajua kuwa wengi hukodisha hayo mnayoyaita ma range na nini sijui! Ngoja lipate ajali ndo utajua lake ama vipi!

Unafiki tuu umekujaa
 
Hizi tabia za kujipa promo nilidhani anazo mzee Mengi tu kumbe ndo utamaduni wa Kabila lake? Duh
 
Mi naishi njia panda HIMO na sio mchanaga ila jamaa tuwape salute.zinazokata kushoro (machame,KIBOSHO,uru,old moshi)ni noma.Julia(kilema,marangu,mwika,rombo,)ni noma zaidi.big up chanagaz
 
Aise wachagga wamejitahidi kwa kweli ....
Kila kijiji kina umeme.....yaani migombani huko ni majumba ya ukweli tu.....alafu cha kuchekesha hayana mtu zaidi ya mfanyakazi...tu......
 
Wakuu mimi si mchaga ila nimemsindikiza jana rafiki yangu huko kwao kilimanjaro.

Sasa nipo huku marangu, ilaa sasa hizi gari ninaziona huku ni balaa yan utafikiri nipo mjini dar es salaam kumbe ni kijijin marangu.

Range Rover Sports hizi za mwaka 2012 nimeshaziona kama nane hadi sa hivi, nimeona pia mikoko ya bmw x6 kwa wingi , yan kwa ufupi kuna gari za kufa mtuuuuuuu.

Big up sana wachaga mpo vizuri kwenye kutafuta dough.

Naomba Kuwasilisha

Hayo magari wanakodi huku wengine mpaka leo hawajarudisha kisa wakaweke heshima matambikoni huko
 
Ila Nyerere ndio aliwamaliza kabisa wangekuwa first world sasa. Hawa jamaa wamekuwa diluted sana na watu wengine ili twende pamoja kama alivyosema Mwalimu
 
Back
Top Bottom