Wachaga ni Noma!

Wachaga ni Noma!

Tehtehteh..... ni kweli aisee, wanakodi ili wakatambiane lol! mie mwenyewe kuna mtu kakodi ka-vitz kangu lol
Nyie wa kuja ndo hamjui!
Sisi tunajua! Walioko huku Kilimanjaro tunajua kuwa wengi hukodisha
hayo mnayoyaita ma range na nini sijui! Ngoja lipate ajali ndo utajua
lake ama vipi!
 
Tehtehteh..... ni kweli aisee, wanakodi ili wakatambiane lol! mie mwenyewe kuna mtu kakodi ka-vitz kangu lol

Hao watakua sio wachaga aisey, kwanza hio ni scandal kwenye ukoo ikijulikana unaazima ka'vitz uende nacho marangu unaeza hata kutengwa na radhi ukaachiwa
 
Kaka trust me wachaga wapo vizuri, wewe itakua umeona wivu tu wenzako uliosoma nao shule ya msingi wamerud na mikoko ambayo unaonaga kwenye movie tu, lol😀

Mkuu I wish ungejua! Unataka ujue nini? Hawanibabaishi hao kaka/dada I can change cars as I wish ingawa sio mkwasi kihivyo ila hao wala hawanibabaishi! Wangapi tunawajazia mafuta kama sio kuwakopesha nauli! Nakwambia hivi waombe Mungu wasipate ajali as utawasikia wanavyoweweseka!
 
Moshi Kilimanjaro ni zaidi ya Mji wenye historia zinazovutia.
 
Hao watakua sio wachaga aisey, kwanza hio ni scandal kwenye ukoo ikijulikana unaazima ka'vitz uende nacho marangu unaeza hata kutengwa na radhi ukaachiwa
Mangi njooni ila mnaondokaga bila kuaga ha ha haaaa
 
Mkuu I wish ungejua! Unataka ujue nini? Hawanibabaishi hao kaka/dada I can change cars as I wish ingawa sio mkwasi kihivyo ila hao wala hawanibabaishi! Wangapi tunawajazia mafuta kama sio kuwakopesha nauli! Nakwambia hivi waombe Mungu wasipate ajali as utawasikia wanavyoweweseka!

Aaaaaaah lakin mimi huyu mtu niliyeenda naye anasukuma mkoko wa ukweli tu na ninajua ni gari yake na ana vitega uchumi vingi tu sasa unataka kuniambia na yeye ameazima na hana pesa ya kuweka mafuta...????
 
Mkuu I wish ungejua! Unataka ujue nini? Hawanibabaishi hao kaka/dada I can change cars as I wish ingawa sio mkwasi kihivyo ila hao wala hawanibabaishi! Wangapi tunawajazia mafuta kama sio kuwakopesha nauli! Nakwambia hivi waombe Mungu wasipate ajali as utawasikia wanavyoweweseka!

ha ha ha ha ha !!!!!!! kwa damu ya yesu hakuna ajali...... siyo kwamba hamna wa kiwango cha chini wapo wengi ila wanajitahidi kujikwamua huko mkuuuu......
 
Hao watakua sio wachaga aisey, kwanza hio ni scandal kwenye ukoo ikijulikana unaazima ka'vitz uende nacho marangu unaeza hata kutengwa na radhi ukaachiwa
me siwezi amini kwa sababu nmetafuta booking ya tarehe 26 imeshindikana mpaka jmosi ndo kutakuwa na nafasi kwa hiyo bado wengi wameend na mabasi ya abiria wasituchuze siye loh
 
me siwezi amini kwa sababu nmetafuta booking ya tarehe 26 imeshindikana mpaka jmosi ndo kutakuwa na nafasi kwa hiyo bado wengi wameend na mabasi ya abiria wasituchuze siye loh

Halafu mwaka huu nadhani wachaga wengi sanaaaa wameenda makwao kilimanjaro kipindi hiki cha sikukuuu kuliko hapo miaka ya nyuma
 
Aaaaaaah lakin mimi huyu mtu niliyeenda naye anasukuma mkoko wa ukweli tu na ninajua ni gari yake na ana vitega uchumi vingi tu sasa unataka kuniambia na yeye ameazima na hana pesa ya kuweka mafuta...????
Wewe mratibu sema huyo uliyeenda naye na sio wote! Hilo la huyo lisemee as si wewe uko naye (sijui cheo chako pale kazini kwake) ila naskia wachaga siku hizi nomaa zaidi ya wakinga! Sina ukakika mangi usinihukumu! Lol
 
Back
Top Bottom