mpiga domo
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 852
- 1,507
- Thread starter
- #61
Kweli nimebahatika kukaa kule kwa muda wa kutosha nyakati kama hizi kwa wale ambao hamjajipanga ni muda wa kufkiri juu ya kujipanga tena mana the guys are doing very well, sio makaz tu hata hivi viusafiri vyetu kwa kweli unahamasika kuwa kama wao.
Vitu vingine tukubali na tuvichukue kama changamoto ili na ss tulete mabadiliko ktk jamii zetu. Mambo Mazuri yanafaa kuigwa
Kaka asante sana kwa kuongea ukweli mtupu bila prejudice na bias ya aina yoyote, Much Respect