Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 24,905
- 33,475
Sasa mbona nyumbu wenzio wanalialia wanataka mpaka Magufuli aseme?Mbona tulp lockdown tangu March, kabla ya siku tatu za maombi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa mbona nyumbu wenzio wanalialia wanataka mpaka Magufuli aseme?Mbona tulp lockdown tangu March, kabla ya siku tatu za maombi.
Kwa akili hizi Magufuli yuko sahihi kuwarudisha aliowafukuza na kuwananga hadharani. Yaani wewe ni Mbunge na ulitegemea umrithi Mahiga? Si bora Maderu mara 100?Habari za asubuhi ndugu zangu Leo ni siku ya tatu tangu kiongozi wa CHADEMA Mbowe kutangaza kuwa watakuwa karantini katika kupambana na korona . Nitumia fursa hii kuwashauri wafuasi wakereketwa wa CHADEMA waunge mkono juhudi za kiongozi wao huyu . hii itakuwa na faida zifuatazo.
Itasaidia kumpa moyo kiongozi wao kuwa anaweza kuifanya serikali iwajibike ipasanyo.
Itasaidia kuwaokoa wafuasi wa chadema kufa kwa wingi kwa korona kwa kuwa watakuwa wapo lock down na kwa kuwa wafuasi wa CCM wengi watakufa kwa korona watabakia wachache hivyo CHADEMA watabaki wengi na kushinda uchaguzii.
Itasaidia kupata uhalisia wa ni chama kipi kinawafuasi wengi ? Kwa maana kila chaguzi tinasikia malalamiko ya kura kuibiwa sasa iwapo wataji lockdown tutajua kuwa wao ni wengi maana mtaani patakuwa patupu.
Itasaidia kuiyumbisha serikali hii ya CCM kimapato kwa kuwa shughuli nyingi za kiuchumi zitasimama na itapelekea serikali kuwapigia magoti na kukubali masharti yenu.
Nawasihi wafuasi wa CHADEMA msimuache kiongozi wenu na wabunge wenu peke yao unganeni nao ili kuiokoa nchi hii. Nawasilisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumradhi mkuu... kwani hiyo Lockdown ako ni nini?Habari za asubuhi ndugu zangu Leo ni siku ya tatu tangu kiongozi wa CHADEMA Mbowe kutangaza kuwa watakuwa karantini katika kupambana na korona . Nitumia fursa hii kuwashauri wafuasi wakereketwa wa CHADEMA waunge mkono juhudi za kiongozi wao huyu . hii itakuwa na faida zifuatazo.
Itasaidia kumpa moyo kiongozi wao kuwa anaweza kuifanya serikali iwajibike ipasanyo.
Itasaidia kuwaokoa wafuasi wa chadema kufa kwa wingi kwa korona kwa kuwa watakuwa wapo lock down na kwa kuwa wafuasi wa CCM wengi watakufa kwa korona watabakia wachache hivyo CHADEMA watabaki wengi na kushinda uchaguzii.
Itasaidia kupata uhalisia wa ni chama kipi kinawafuasi wengi ? Kwa maana kila chaguzi tinasikia malalamiko ya kura kuibiwa sasa iwapo wataji lockdown tutajua kuwa wao ni wengi maana mtaani patakuwa patupu.
Itasaidia kuiyumbisha serikali hii ya CCM kimapato kwa kuwa shughuli nyingi za kiuchumi zitasimama na itapelekea serikali kuwapigia magoti na kukubali masharti yenu.
Nawasihi wafuasi wa CHADEMA msimuache kiongozi wenu na wabunge wenu peke yao unganeni nao ili kuiokoa nchi hii. Nawasilisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Utatoka mwenyew ,hizo michele, unga sijui mafuta yataisha na utarudi barabarani kijanaEndekezeni SIASA na kejeli,,,,watu wanapukutika,,,,binafsi Nimeji Lock down kitamboo,,,,nimechukua kiasi cha akiba yangu nunua mahitaji,,,,ninefunga milango inaweza kata 3 days sijatoka nje ya NYUMBA and no vistors alowed ,,,just reading books,,na kuset plans
Taja hata taasisi tano private wamezofunga hapa dar kisa koronaWatu wanajilockdown wenyewe mmoja mmoja, watabaki wale ambao kujichanganya kwao mtaani ndo kula yao ya siku kwa siku.
Biashara nyingi zinafungwa na wamiliki kuamua kupisha corona ipite. Tayari wafanyakazi wengi wa sector binafsi wameanza kupoteza ajira.
Corona ni mdudu mbaya sana.
excl : kuna kadada nilibanduaga zamani halafu tukaja kuachana, kananipigia sana sim za mizinga kwavile kamepoteza ajira baada ya boss kufunga duka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Katika jambo la kipuuzi ambalo cdm wamelifanya ni kulilia lockdown bila kufanya utafiti watu wengi wanataka nini..Mbona tulp lockdown tangu March, kabla ya siku tatu za maombi.
Sasa mbona nyumbu wenzio wanalialia wanataka mpaka Magufuli aseme?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera saana washawishi wenzako pia ili CCM wafe kwa koronaaEndekezeni SIASA na kejeli,,,,watu wanapukutika,,,,binafsi Nimeji Lock down kitamboo,,,,nimechukua kiasi cha akiba yangu nunua mahitaji,,,,ninefunga milango inaweza kata 3 days sijatoka nje ya NYUMBA and no vistors alowed ,,,just reading books,,na kuset plans
Nenda kariakoo ukahesabu maduka yasiyofunguliwa , na maduka hayo yaliajiri watu.Taja hata taasisi tano private wamezofunga hapa dar kisa korona
Narudia tena taja kijana
Sent using Jamii Forums mobile app
Subiri umsikie Mbowe kesho anaongea na waandishi wa habari.Mafao na uhai kipi bora we mfuasi wa kibwetere unajaza sever za Jf bure ...uwezo wa kufikiri bado mdogo
Wewe uliambia kazi ya ubunge nimafao tu...akiri za umaskini hiizi zinawatesa mataga party