KadaMpinzani
JF-Expert Member
- Jan 31, 2007
- 3,715
- 93
astaghafirullahi !
Mungu alisema"Ombeni mtapata"........mhm, siendelei !
Mungu alisema"Ombeni mtapata"........mhm, siendelei !
astaghafirullahi !
Mungu alisema"Ombeni mtapata"........mhm, siendelei !
Kada,
Nenda huko kwenye nyumba ya ibada kamuombe Mungu maisha bora. You will get it.
Kada,
Nenda huko kwenye nyumba ya ibada kamuombe Mungu maisha bora. You will get it.
Nilizungukwa na mambo mengi sana ikabidi nikimbilie Dar haraka haraka kwenda kutambika; sasa hivi nina tani ya maboksi.Asante na karibu tena Mwl. Kichuguu. Umepotea mno bana....najua maboksi si mchezo lakini sio freshi kupotea namna hiyo.
Karibu tena... hawa jamaa wanafikiri tumesahau au hatujui historia yao. Ni sayansi iliyotumika na Hitler kuua wayahudi, wenye vilema na wazee.. na ni sayansi hiyo hiyo ambayo inasukuma sayansi ya eugenics.. Ukweli ni kuwa wanatumia nembo ya sayansi ili watimize adhma zao chafu na wapate udhuru wa kuhalalisha matendo yao ya kinyama.
Kama huyo Prof. angesema kuwa sayansi imeonesha kuwa wayahudi wote (ukiondoa wachache) wana viinihai (genes) ambayo ni pungufu ya wanadamu wengine na bila ya shaka ndiyo sababu ya wao kunyanyaswa katika historia ya ulimwengu, leo hii mngesikia kasheshe..!
Kama lengo lao ni kutimiza adhma chafu na za kinyama basi hapo wanakosea. Lakini kama wanachosema ni ukweli, basi ukweli utabaki kuwa ni ukweli hata iweje. Wewe Mwanakijiji ni mwandishi mzuri. Ni wazi wengi wetu humu hatuna kipawa kama chako. Sasa kuna ubaya gani wewe ukisema Mwafrika wa Kike hata afanye nini hawezi kuwa mwandishi mzuri?
Kama lengo lao ni kutimiza adhma chafu na za kinyama basi hapo wanakosea. Lakini kama wanachosema ni ukweli, basi ukweli utabaki kuwa ni ukweli hata iweje. Wewe Mwanakijiji ni mwandishi mzuri. Ni wazi wengi wetu humu hatuna kipawa kama chako. Sasa kuna ubaya gani wewe ukisema Mwafrika wa Kike hata afanye nini hawezi kuwa mwandishi mzuri?
Sorry,
I made a thread on the same subject, though from a different angle. Conclusins made by this old man are not based on any scientificaly quantitative evidence but rather on social qualitative observations.
Kama lengo lao ni kutimiza adhma chafu na za kinyama basi hapo wanakosea. Lakini kama wanachosema ni ukweli, basi ukweli utabaki kuwa ni ukweli hata iweje. Wewe Mwanakijiji ni mwandishi mzuri. Ni wazi wengi wetu humu hatuna kipawa kama chako. Sasa kuna ubaya gani wewe ukisema Mwafrika wa Kike hata afanye nini hawezi kuwa mwandishi mzuri?
Ukisema kuwa kichuguu ni kilaza, hiyo ni tofauti na kusema kuwa ukoo wa kichuguu wote ni vilaza