Waafrika ndivyo tulivyo?

Waafrika ndivyo tulivyo?

necessity is a mother of all inventions..tukianza kuona kuwa vitu fulani could be simplified.. ungeshangaa..
 
Huyo watson sio baba wa dna kama unavyodhani mama wa dna anaitwa franklin rosakind, na hao wakina watson waliiba tuu kazi a huyo mama, hakuna chochote kipya walichokifanya, mengine nitakujibu kesho............

And that is the truth, nothing but the truth!
Huyu mzee karibu anakufa, sasa anafanya kila njia kutafuta 'attention' basi.
 
Unajua huyu Game Theory ana material si kitoto, akiamua kukata ishu hadi utapenda yaani anaongea points kwa kumwaga datas pia ! Keep it up Game Theory !
 
Zamani walijiona ni wazuri sana kwa rangi ya ngozi yao na vi-lips vyembamba, leo hii ni mibaguzi tu ndio iliyobaki na mawazo hayo, warembo wanajidunga 'collagen' lips zionekane zimejaa.

Siku hizi wanakubali Wachina, Wahindi na kwa ujumla watu wa Asia wanawazidi mbinu karibu kila kitu. Sasa jiulize, kumetokea nini mara hii hadi hawa wakatoka kuwa chini ya wazungu kwa kila kitu hadi waheshimiwe hivyo?

Miaka 10, 15, 20 ijayo, na sisi tukishafikia ngazi ya kuwa na watoto 20 kwa mwalimu mmoja, na kila darasa likiwa na vifaa vyote Watson kama bado atakuwa yu hai atameza maneno yake. Asichukulie mfano wa hawa wenzetu wachache waamerika weusi waliodumazwa na kukatishwa tamaa katika mazingira yanayowanyima nafasi na haki sawa hata mashuleni.

Miaka yote hii ni Wamarekani na wazungu wa ulaya magharibi ndio wametokea kupata tuzo nyingi za Nobel. Hii haina maana kwamba Wamarekani genes zao ni tofauti na wazungu wa sehemu nyinginezo, kama Australia, Urusi n.k.; au wachina, wahindi, au watu wote walioko Amerika ya kusini.

Udhaifu wa mtu mweusi ni kitu kimoja tu. Hajui kuweka kumbukumbu.
Ni kama wale waarabu wenye viduka vyao pale karibu na "Fire" ya Morogoro Road. Hivyo viduka viko vile vile tokea Muhimbili ikiwa chini ya Dr. Mwankemwa, na hadi leo hii viko vile vile. Hawajisumbui kujua mauzo ya jana yamepishana vipi na ya leo. Na sisi tuko hivyo hivyo hatuweki kumbukumbu nzuri, ili hata kesho tuweze angalau kurudia yale yale yaliyotuletea neema jana, au hata kuongezea hapo kwa uvumbuzi mpya. Kumbukumbu zetu kila mara ziko vichwani tu. Huu ni udhaifu wa karne nyingi na ndio asili ya sisi kuwa nyuma katika nyanja nyingi. Labda tukubali tu DNA zetu hazipo sharp katika hilo basi.

Wazungu tumesoma nao, wazungu tunawafundisha, wazungu tunafanya kazi nao. Sio lolote, bali labda tuseme na wao DNAs zao za ubaguzi, au kutaka waonekane wao ni zaidi ndio zinazowasumbua.
 
Unajua huyu Game Theory ana material si kitoto, akiamua kukata ishu hadi utapenda yaani anaongea points kwa kumwaga datas pia ! Keep it up Game Theory !

Ninakubaliana na wewe. Kuna mijadala anaiweza sana, lakini sio ile ya udini na kugawa watu katika makundi ya udini nchini.
 
Hii mwanasayansi inataka umaruufu kupitia njia isiyokua na maadili mema na pia hii mtu haina maelezo ya kuthibitisha madai yake kisayansi. Sawa na muuaji anayejipatia umaarufu kwa kuua watu wengi, km changudoa ati kwa sababu wanaleta aibu ktk jamii ama anataka kuwashikisha adabu nk. Hata hivyo huyu mwanasayansi kwa upande mwingine anatusaidia tuamke na kufanya kazi, tutumie utashi na akili zetu ktk kuendeleza mazingira yetu na kuacha utegemezi na tusiridhike tupatapo maendeleo kidogo tu.

Sisi Waafrika, hasa sisi waTZ tuache mila zinazopingana na sayansi na hivyo viongozi wakazie na kuendeleza elimu kwa jamii, hasa viongozi wetu waache: "bla.. bla...TZ inapaa bila kuhakikisha inapaa kweli, kuficha kuwepo rushwa au ufisadi wa viongozi kwa ujumla, kuweka mbele misaada toka nje ambapo ni juzi tu JK kaomba wataalam wa rushwa ama mafunzo ya elimu ya rushwa toka USA na UINGEREZA (hivi kweli lazima USA? sisi hatujui rushwa ni nini na hutuna mbinu ya kukamata wala rushwa?), kufanya bajeti yetu iwe tegemezi ya msaada toka nje 50%..nk". je bado tu hatujawa watu wa kusemwa na kushikishwa ababu? Tutakataa lakini ukweli unasuta. Tukiendelea kuwa si wawajibikaji wa mazingara ama nchi zetu wataendelea tusema, na tutasemwa zaidi pale mtoaji atapoona misaada haijafanya kazi. Kwani tuna utu gani tusisemwe wakati tunaomba misaada kila kukicha lakini bila maendeleo.

Hii mwanasayansi iliyoishiwa mbinu hamaanishi asemacho bali ni kutusema tu na kutushikisha adabu kwani tunaleta aibu kwenye jamii ya Dunia hii kwa unyuma wetu na anataka dunia ijue kuwa UNYUMA WETU ni makosa yetu, si yao.
 
Hii habari imeshadadiwa sana na right wings (conservatives) nimeiona kwa Michael Savage leo. This people are racist and they need to get their facts right.
 
kuna kitu kiliitwa enzi zile.. "white man's burden".. it seems they are still struggling with it..
 
angetumia huo mfano hapo juu mwanakijiji asikwambie mtu, waafrika wangewatoa nishai wazungu haki ya nani, si unajua waafrica wanavyojua kusoma na kuelewa, tokea kipindi kile kusoma usiku na vibatari lakini mtu still anamanage kufanya vizuri achilia mbali hawa waliozoea study lamp, na still wanafanya poor darasani, sasa uniambie wote wapate breakfast ya nguvu asubuhi, computer, wanalaza ubavu wao kuzuri kitandani ndani na kyoyozi, wazungu watatafuta pa kukimbilia nakwambia !

Pasingekuwepo na tofauti yoyote as far as the skin color is concerned! Na kama ingekuwepo ni very insignificant.
 
Hili jitu ni baguzi la rangi,huwezi kuongea utumbo kama huu katika jamii,unajua katika tafiti zangu,nimegundua hakuna mijitu mijinga katika dunia hii kama mizungu.Kwanza wanajiona ndio baba wa dunia,hasa hawa wamarekani,na kumbukeni hata vita zote kubwa duniani zimetokea kwa sababu ya mambo ya dharau kati rangi na rangi au tabaka na tabaka,unajua walishatuona watu weusi kama mazuzu tu.Kuna gf wangu mweupe aliwahi kuniambia unajua watu weusi wana vipaji vya michezo,starehe na mambo kama hayo,lakini hawawezi kugundua vitu,nikamuuliza unamaanisha nini?Akanijibu,yaani teknolojia,kugundua mambo ya kitaalamu.Binafsi nikamuona ni mpuuzi tu,sikutaka hata kujibu swali lake.

Ila naomba turudi nyuma,kwa nini watuseme kuwa we have less intelligence?Tujichukulie sisi kama waafrika,ni kitu gani kimekosekana hadi tupo nyuma kiasi hiki?Tusiende mbali,chukulua mfano wa Tz,yale maamuzi ya viongozi wetu ya kutotumia akili yanaonyesha picha gani,jibu ni kuwa akili hamna?Enzi za akina Karl Peters,mababu zetu walisainishwa mikataba ya ulaghai,ok,tunaweza kusema hatukua na elimu enzi hizo,sasa leo hii akina Karamagi,JK,EL, wanayoyafanya,je mnayaonaje?Jiulize kwa nini Afrika tupo nyuma,tuna raslimali kibao,tuachane na suala la mazingira,leo hii tumekua kama wasindikizaji katika dunia hii.Hayo yote yasingewezwa kusemwa endapo tungekuwa na nguvu sawa kiuchumi.
 
Hi sio hoja nyeti, nadhani inajadilika kwa kila context. Naweza kuchukua mfano wa sisi watanzania. Tuna tatizo kubwa la kuibiwa na viongozi wetu, what are we doing about it? Tuna sutme inayoingiza viongozi wabovgu ambao hata hawajui wanalipekea wapi taifa na kuna wengine wanawasifu kuwa viongozi wazuri. Kwa upande fulani naweza kusema nakubaliana na hilo, ingawa najua kuwa mimi na wanaJF wengi tu sio mazuzu. Kwa sababu tunajua matatizo yanayotuzunguka na tunajua ugumu wa kuyatatua kwa sababu mkoloni mdokozi alipoondoka, aliacha madaraka kwa jambazi na akampa rungu lenye nguvu zaidi, hapo ndio tunakwama.
 
hivyo ndio watu weupe wanavyoamini. na itaendelea kubakia hivyo unless proven otherwise, which i doubt kuwa itafanyika karne hii au ijayo
 
Nyinyi wote humu ndani mnaomuunga mkono huyo jamaa hamna akili, kwani IQ manake nini??? kama ingekua sisi hatuna akili kiasi hicho na kama huyo msenge masatu anavyosema basi waafrika wanaomaliza sekondary africa wasingeweza kusoma ktk vyuo vikuu ulaya kwa maana wangefeli muhula wa kwanza, madaktari wa afrika wasingeweza kufanya kazi ulaya, baadhi ya makampuni makubwa yasingeweza kuongozwa na waafrika.

Kijakazi, jina lako ni ushahidi tosha wa yale aliyoyasema Watson. Baada ya kufanywa na Mjakazi na kuhasiwa umebaki kuwa msenge unaetafuta mabwana kwa nguvu kwenye net.

Kwa akili yako ya kisenge kusoma vyuo vikuu vya ulaya ndio kuwa na IQ nyingi sio. Well if thats the case I have every reason now to agree with what Watson has said.......
 
Sidhani kuwa huyu Watson anakijua anakiongea, IQ inahusisha vitu vingi, nilifikiri atajua zaidi, mtoto wake mwenyewe ana kichaa (schizophrenic). Hata hivyo wazungu wengi wanaelekea kutojua historia ya dunia.Watu wa kwanza kuanzisha science walikuwa waafrika wa Egypt na nubia, 4000BC( Soma African origin of Civilisation,Myth or reality, by cheikh anta diop).Wazungu enzi hizo walikuwa wanaishi kwenye mapango!!!Wagiriki wenyewe walijifunza science, falsafa, n.k Egypt, wakina Pythagoras, archmedes, na wanasayansi karibu wote wa kigiriki walisema wazi kwamba walijifunza kutoka kwa waafrika wa Misri. Soma Herodotus histories.

In actual fact wazungu ni watu wa mwisho kujua science , falsafa n.k .Kati ya wazungu,walianza wagiriki na hawa walijifunza kutoka Egypt around 500BC!! Mamia ya miaka baada ya wamisri. Na hawa wazungu walikuwa watumwa huko misri kwa miaka zaidi ya 3000!

Kinachotuaribu waafrika na kinachotufanya tuonekane na IQ ndogo ni watu kama Jakaya Kikwete, (Ilikuwaje tukamchagua mtu mwenye fikra finyu kama huyu?) ambao kila siku wanaenda ulaya kuomba misaada baada ya kukaa chini na kuendeleza sayansi kwenye shule na vyuo vikuu vyetu na kuimarisha government admistration. Kama kuna rushwa na government admistartion mbovu hata tukipewa mabilioni, pesa zote hizo zitayeyuka!
 
Sidhani kuwa huyu Watson anakijua anakiongea, IQ inahusisha vitu vingi, nilifikiri atajua zaidi, mtoto wake mwenyewe ana kichaa (schizophrenic). Hata hivyo wazungu wengi wanaelekea kutojua historia ya dunia.Watu wa kwanza kuanzisha science walikuwa waafrika wa Egypt na nubia, 4000BC( Soma African origin of Civilisation,Myth or reality, by cheikh anta diop).Wazungu enzi hizo walikuwa wanaishi kwenye mapango!!!Wagiriki wenyewe walijifunza science, falsafa, n.k Egypt, wakina Pythagoras, archmedes, na wanasayansi karibu wote wa kigiriki walisema wazi kwamba walijifunza kutoka kwa waafrika wa Misri. Soma Herodotus histories.

In actual fact wazungu ni watu wa mwisho kujua science , falsafa n.k .Kati ya wazungu,walianza wagiriki na hawa walijifunza kutoka Egypt around 500BC!! Mamia ya miaka baada ya wamisri. Na hawa wazungu walikuwa watumwa huko misri kwa miaka zaidi ya 3000!

Kinachotuaribu waafrika na kinachotufanya tuonekane na IQ ndogo ni watu kama Jakaya Kikwete, (Ilikuwaje tukamchagua mtu mwenye fikra finyu kama huyu?) ambao kila siku wanaenda ulaya kuomba misaada baada ya kukaa chini na kuendeleza sayansi kwenye shule na vyuo vikuu vyetu na kuimarisha government admistration. Kama kuna rushwa na government admistartion mbovu hata tukipewa mabilioni, pesa zote hizo zitayeyuka!

Labda watu wenye akili wasingemchagua mtu kama Kikwete....
 
Tukubali tusikubali waafrika (na hapa ninawaongelea wabantu wanaotoka kusini mwa jangwa la sahara) IQ yetu ni ndogo. Kusoma vyuo vya ulaya haitoshi kuonyesha kuwa IQ yetu ni sawa na waliojenga misingi ya elimu ya magharibi. Nitawapa mifano:

The University of Bologna is one of the oldest universities in the world. It was founded in the western world (AD 1088).University of Paris was founded in 12th century. University of Oxford developed rapidly from 1167, when Henry II banned English students from attending the University of Paris.

Niliwahi kuuliza kwenye posti Fulani somewhere. Sisi kipindi hicho tulikuwa tunafanya nini?? Hapa ndipo issue ya IQ inapoibuka. Kuna mambo mawili hapa naona baadhi yetu tunataka kuchanganya. Elimu na IQ ni vitu viwili tofauti. Unaweza kuelimika lakini IQ ni sifuri. Na huyu professor anaongelea Intelligency. It is not about Sumaye Kusoma Harvard University (elimu).

Hivi mlishawahi kujiuliza kwa nini mwafrika alimuuza mwafrika mwenzake wakati wa biashara ya utumwa? Uliwahi kusikia kuwa ufalme wa mwanamutapa ulikuwa na watumwa kutoka nchi za magharibi??

Angalia Nigeria. Pamoja na kuwa ni nchi ya tano kwa utajiri wa mafuta duniani, kuna matatizo makubwa ya umeme. Yet, Nigeria ina vyuo vikuu zaidi ya 40.

Hivi mmewahi kujiuliza ni nchi gani ya magharibi ambayo imewahi kuingizwa katika mikataba mibovu na wawekezaji kutoka afrika? Why afrika?? Is not the case that our IQ is both narrow and shallow??

Kwa kifupi mimi namuunga mkono huyo professor. Waafrika tutake, tusitake ndivyo tulivyo. IQ yetu ni ndogo, ndio maana tuna raslimali za kutosha lakini bado tunaomba misaada kutoka nje! Tuna hospitali ya muhimbili lakini viongozi wetu bado wanapata matibabu katika nchi za magharibi, tuna ardhi na mito ya kutosha lakini tumeshindwa kuanzisha kilimo cha umwagiliaji.

Najua akina kijakazi watasema, dereva wa Mercedez Benz na aliyetengeneza mercedez benz wote ni sawa, eti kwa sababu kila mmoja ana uwezo wa kuendesha Mercedez Benz.

Naomba kutoa hoja.

 
Mwanamalundi

Unamkoma nyani giladi hapahapa usoni!
 
Labda watu wenye akili wasingemchagua mtu kama Kikwete....
Je hao watu wenye akili kukuzidi wasingemchagua mtu kama joji bush.....ambaye alishinda kwa kura nyingi tuu mara ya pili ingawaje hao watu unaowaabudu walijua fika kwamba jamaa ni bomu kichwani, wasingekubali kuishi ktk nchi ambayo inatumia pesa zao za kodi kwenda kuvamia nchi nyingine kwa manufaa yasiyo ya taifa bali ya watu binafsi,wasingekubali kuishi ktk nchi ambayo asilimia 5 ya wananchi wanashikilia uchumi wa nchi nzima, wasingekubali kuishi ktk nchi ambayo matajiri tuu ndio wana bima ya maisha ingawaje watu wote wanalipa kodi, wasingekubali kusihi ktk nchi ambayo maskandali kama ya enroni ambapo mtu mmoja au wawili ametumia fedha na kufirisi moja kati ya mashirika makubwa dunia na kuteketeza akiba za uzeeni za watu zaidi ya 10,000 kwa manufaa yake binafsi kama wao wangekua na akili haya yote na mengineo mengi yasingetokea.... itaendelea
 
Back
Top Bottom