Tukubali tusikubali waafrika (na hapa ninawaongelea wabantu wanaotoka kusini mwa jangwa la sahara) IQ yetu ni ndogo. Kusoma vyuo vya ulaya haitoshi kuonyesha kuwa IQ yetu ni sawa na waliojenga misingi ya elimu ya magharibi. Nitawapa mifano:
The University of Bologna is one of the oldest universities in the world. It was founded in the western world (AD 1088).University of Paris was founded in 12th century. University of Oxford developed rapidly from 1167, when Henry II banned English students from attending the University of Paris.
Niliwahi kuuliza kwenye posti Fulani somewhere. Sisi kipindi hicho tulikuwa tunafanya nini?? Hapa ndipo issue ya IQ inapoibuka. Kuna mambo mawili hapa naona baadhi yetu tunataka kuchanganya. Elimu na IQ ni vitu viwili tofauti. Unaweza
kuelimika lakini IQ ni sifuri. Na huyu professor anaongelea Intelligency. It is not about Sumaye Kusoma Harvard University (elimu).
Hivi mlishawahi kujiuliza kwa nini mwafrika alimuuza mwafrika mwenzake wakati wa biashara ya utumwa? Uliwahi kusikia kuwa ufalme wa mwanamutapa ulikuwa na watumwa kutoka nchi za magharibi??
Angalia Nigeria. Pamoja na kuwa ni nchi ya tano kwa utajiri wa mafuta duniani, kuna matatizo makubwa ya umeme. Yet, Nigeria ina vyuo vikuu zaidi ya 40.
Hivi mmewahi kujiuliza ni nchi gani ya magharibi ambayo imewahi kuingizwa katika mikataba mibovu na wawekezaji kutoka afrika? Why afrika?? Is not the case that our IQ is both narrow and shallow??
Kwa kifupi mimi namuunga mkono huyo professor. Waafrika tutake, tusitake ndivyo tulivyo. IQ yetu ni ndogo, ndio maana tuna raslimali za kutosha lakini bado tunaomba misaada kutoka nje! Tuna hospitali ya muhimbili lakini viongozi wetu bado wanapata matibabu katika nchi za magharibi, tuna ardhi na mito ya kutosha lakini tumeshindwa kuanzisha kilimo cha umwagiliaji.
Najua akina kijakazi watasema, dereva wa Mercedez Benz na aliyetengeneza mercedez benz wote ni sawa, eti kwa sababu kila mmoja ana uwezo wa kuendesha Mercedez Benz.
Naomba kutoa hoja.