Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Letu jukwaa la wa mwisho ndio mshindi Lina raha sana tunajifunza misamiati mingi Na tunajuana bila ya kuonana ana Kwa ana.
Hivi Kwa nini wana sema "ana Kwa ana" badala ya uso Kwa uso?
Uso ni picha ya mbele..., Lakini "ana " ni neno la kiarabu yaani "mimi" Sasa ana kwa ana ni "mimi na wewe" tuonane livu.....
 
Back
Top Bottom