irk
JF-Expert Member
- Jun 5, 2016
- 486
- 389
Viboko vya upande wa kanga.Liwajibishwe kwa kuchapwa viboko
Viboko vya upande wa kanga.Liwajibishwe kwa kuchapwa viboko
Kanga ndio vazi la pwaniViboko vya upande wa kanga.
kuvutia halaiki ya watu uwe umependeza ktk umaridadi wa mavazi....Pwani ina mandhari ya kuvutia
Mavazi yenye stara yavaliwe na wanawakekuvutia halaiki ya watu uwe umependeza ktk umaridadi wa mavazi....
Wanawake wana haki nne au kadha juu yetu, kama mana zetu,dada zetu,binty zetu ,bibi zetu na Shangazi zetu kabla ya kuwa wenza !!!!Mavazi yenye stara yavaliwe na wanawake
Kuwa wenza wa pili katika ndoa kunahitaji uvumilivu kwa wanawake, Mwanaume ukiwa na uwezo na fedha kuoa wake wanne ni sunnaWanawake wana haki nne au kadha juu yetu, kama mana zetu,dada zetu,binty zetu ,bibi zetu na Shangazi zetu kabla ya kuwa wenza !!!!
Sunna kivipi? NielekezeKuwa wenza wa pili katika ndoa kunahitaji uvumilivu kwa wanawake, Mwanaume ukiwa na uwezo na fedha kuoa wake wanne ni sunna
Nielekeze na Mimi ukishaelekezwaSunna kivipi? Nielekeze
Mie mwenyewe mgeni kwenye hizo ishu za SunnaNielekeze na Mimi ukishaelekezwa
Basi gugoMie mwenyewe mgeni kwenye hizo ishu za Sunna
Gugo hapana... Humu humu watajitokeza wa kunisaidia maana ya SunnaBasi gugo
Sunna hiyo hapoGugo hapana... Humu humu watajitokeza wa kunisaidia maana ya Sunna
Hapo nimekuelewa japo sio sanaSunna hiyo hapo
![]()
Nielekeze na Mimi ukishaelekezwa
Ishu za sunna ipo hivi: kwa kifupi waislam tunafuata mafundisho ya kiingozi Mtume Muhammad(SAW): sasa ukifuata utaratibu na kufanya kama alivyofanya yeye alivyotufundisha ndio SUNNA,Mie mwenyewe mgeni kwenye hizo ishu za Sunna
Sio sana watu wanapenda chai bila sukariHapo nimekuelewa japo sio sana
Sukari ya warembo wanasema ni diamondSio sana watu wanapenda chai bila sukari
Limepunguwa kwasababu ya mshonoDiamond siku hizi lile domo lake limepungua