Mwinyi_ole_mushi
JF-Expert Member
- Oct 29, 2015
- 1,636
- 4,420
atahit Kweli?
Kweli vile joti aache kuigiza kama mwanamkeatahit Kweli?
Mwanamke ni msaidizi wa mwanaumeKweli vile joti aache kuigiza kama mwanamke
Mwanaume halisi anatambua majukumu yake katika familiaMwanamke ni msaidizi wa mwanaume
Mitandaoni kuna mambo mengi mazuri na mabaya piaLazima ukuharibu kama utafuata kila linalooneshwa au kuzungumziwa mtandaoni
Pia kwa mtu anaejitambua hawezi kufuata hayo mabayaMitandaoni kuna mambo mengi mazuri na mabaya pia
Mabaya yananguvu sana, tuwe makini na mitandao japo kunasheria nchini inayapuuzia na kudili na mambo yasio ya muhimuPia kwa mtu anaejitambua hawezi kufuata hayo mabaya
Siku mpya mawazo mapya na mafanikioNa kadhalika unapoamka unapandisha net na kumuomba Mungu rehema zake kwa siku mpya
Bidii ya mtu ni yeye mwenyewe, kupata na kukosa yote ni majaaliwaMafanikio huletwa kwa kufanya kazi kwa bidii
Majaaliwa ni kudra au baraka za mwenyezi mungu.japo apa bongo tuna majaaliwa ambae ni waziri mkuu wa serikali ya Tanzania asie penda ujinga ujingaBidii ya mtu ni yeye mwenyewe, kupata na kukosa yote ni majaaliwa
Kiza neneUjinga mwingi mbele kiza
Nene waga sio tamu kama nyembambaKiza nene