Hb wa Ilala
JF-Expert Member
- Sep 23, 2015
- 1,190
- 1,217
..mzazii aliyeendelea hakubaliani na wewehawanayo wasiwe nayo but jf kiboko mzaziii
..mzazii aliyeendelea hakubaliani na wewehawanayo wasiwe nayo but jf kiboko mzaziii
Dawa za nini wakati tuna tunza hela za kununulia bombadear!!!Ni duni sababu ya hospitali hakuna dawa
Wewe ndo yule house boy wa ilala??..mzazii aliyeendelea hakubaliani na wewe
..Ilala hamna ma-Houseboy wee ndo Yule mpenzi wake?!Wewe ndo yule house boy wa ilala??
Wake za maHouseboy waheshimiwe jamanii... tusipelekane mbali hebu eenh!!!..Ilala hamna ma-Houseboy wee ndo Yule mpenzi wake?!
Mpenzi wake yupo mkoani mi ni msuuza rungu tu...Ilala hamna ma-Houseboy wee ndo Yule mpenzi wake?!
..eeh!!wanaitaJi heshima zao na waoWake za maHouseboy waheshimiwe jamanii... tusipelekane mbali hebu eenh!!!
..tu kusuuza rungu hakutoshi,suuza na mwili wote haha!!Mpenzi wake yupo mkoani mi ni msuuza rungu tu.
hii alama huashiria kuwa na furaha kupitilizaa..kupitiliza kwa furaha ni kutokana na irene kuona usuuzaji wa rungu na mwili!!!hii alama huashiria kuwa na furaha kupitilizaa
Hahaha nimecheka hadi nimevunjika mbavu...tu kusuuza rungu hakutoshi,suuza na mwili wote haha!!
Mbavu tutazipeleka hospitali ya ilala ukatibiwe.....Hahaha nimecheka hadi nimevunjika mbavu.
Habari wanaJF,
Nnaomba tucheze mchezo unaitwa "wa mwisho ndo mshindi"......... Ni mchezo rahisi sana, unaanzisha sentensi kwenye neno la mwisho la sentensi aloandika mwenzako.
Mfano:
Ualimu Tanzania ni kazi ngumu kiasi
Kiasi ambacho kama hukuzoea maisha ya tabu, utalalama kila siku
Siku uianze vizuri bwana, ukiianza vibaya lazima utukane mwenzio
Mwenzio ni mtu ambaye mnaweka hisia zenu pamoja bila kusalitiana kama dr. Ulimboka na madkatari
Madaktari wa Tanzania wanahitaji kulipwa zaidi........ (tuendelee kwa mtindo huo wanaJF, wa mwisho ndo winner.. Karibuni sana)
Inadhalilika pale unapokuja na comment kama hiyoHivi watanzania nani katuloga?Yaani hii ni thread.Duh!Kwa namna hii Tanzania ya viwanda ni ndoto.Max vipi mkuu,mbona JF inadhalilika?
Inadhalilika JF kwa fikra finyu, Lakini kwa mtazamo mpana uzi kama huu ndo hutanuwa wigo la msamiati....Hivi watanzania nani katuloga?Yaani hii ni thread.Duh!Kwa namna hii Tanzania ya viwanda ni ndoto.Max vipi mkuu,mbona JF inadhalilika?
..na msamiati sahihi kwa huyo mtu ni kwamba IQ yake ni haba huu uzi unausianaJe na viwanda kwa mfano?!Inadhalilika JF kwa fikra finyu, Lakini kwa mtazamo mpana uzi kama huu ndo hutanuwa wigo la msamiati....
Kwa mfano, Siye tumesha jenga taifa upande wetu na tumesha wajibika kivyetu......na msamiati sahihi kwa huyo mtu ni kwamba IQ yake ni haba huu uzi unausianaJe na viwanda kwa mfano?!
..inadhalilika kwa sababu watu kama wewe wanakuja na logic za viwanda sehemu isiyo Ya siasaHivi watanzania nani katuloga?Yaani hii ni thread.Duh!Kwa namna hii Tanzania ya viwanda ni ndoto.Max vipi mkuu,mbona JF inadhalilika?
Inadhalilika JF kwa fikra finyu, Lakini kwa mtazamo mpana uzi kama huu ndo hutanuwa wigo la msamiati....