Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Waliomfuata ni mashabiki wa damu wanaokongwa nyoyo zao kama mziki wa taarab wa zamani ulikuwa na heshma katika mavazi, ujumbe na vyombo vya mziki halisi na sauti nzuri
Nzuri kwa sisi wa zamani lakini chachu kwa kizazi hiki cha kuzibaziba... Kumradhi nsije vunjiwa uadhama....!!
 
  • Thanks
Reactions: Auz
Uadhama huvunjiwi wewe jiamini kuzungumzia uhalisia katika maisha halisi ya mziki wa sasa tunawamiss sana kina Tx Moshi, Remi Ongala na bi kidude
Bi kidude na waliyotangulia kwenye haki Warehemewe na manani.., nasi tulobaki juu ya mgongo wa ardhi turehemeke kwa kudra zake muumba karimu....
 
  • Thanks
Reactions: Auz
Back
Top Bottom