AlphaPii
JF-Expert Member
- May 15, 2015
- 1,169
- 1,853
wote ni great thinkersHoja hii Ina Mafunzo Mengi mtambuka iwapo utasoma yaliyoandikwa na wachangiaji wote
wote ni great thinkersHoja hii Ina Mafunzo Mengi mtambuka iwapo utasoma yaliyoandikwa na wachangiaji wote
Thinkers wa JF wanatoka ktk kila kona ya ulimwengu huu hata bila ya kuonana...wote ni great thinkers
mbaya ni yule jamaaLazima tujue nani great thinkers na nani wadandiaji humu ili tuishie mwisho mbaya
Ta ndo wapiJamaa ni jina la moja ya barabara kubwa mjini Ta
tanga rahaWapi Ta? Ni Tanga
tanga raha
leo ni tarehe 22Raha kweli kweli!!!, waja leo...waondoka leo na Raha Leo.
Mawazo hayaishi labda ufe.lock haitoki bar ladba upunguze mawazo
Mawazo hayaishi labda ufe.
Usiku wa kuamkia leo nmeota naangalia kipind cha NIRVANA kupitia EATV , ulipofika muda wa matangazo wameweka tangazo la FIESTA IMOOOOOOOO
Kulala stendi siwezi lakini wengi hulala wanapokuwa safarini....Nini unasema wakati uliniambia huu ni wakati wa kulala?