Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Tuboreshe nini mkuu? Maana hii thread imeanza zamani sana, nadhani niliandikaga pia posts mwanzoni sana, sasa naona kila kukicha inazidi kukua tu, na umekuwa moja ya watu wanaoipa uhai hii thread.
Thread hii inahitaji mbolea ili itanuwe wigo nami nipo kupalilia lisiwe kichaka !!
 
Kichaka kikitunzwa ni njia mbadala ya kupunguza athari za mabadiliko ya tabia nchi mfano wa misitu
Misitu ni rasilimali yenye thamani kote na hususan nchini, Lakini kwa masikitiko sana tumeshindwa kuihifadhi na kuitunza kwa kiwango stahili !!
 
Back
Top Bottom