Werrason
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 13,223
- 39,930
Hatulijui wakati sie ndio waswahili wenyewe.Kachapia kwa kweli, neno gani hilo wote hatulijui
Hatulijui wakati sie ndio waswahili wenyewe.Kachapia kwa kweli, neno gani hilo wote hatulijui
Wenyewe kwa wenyewe tumeshirikiana kufuatilia lile neno mpaka tumejua ukweliHatulijui wakati sie ndio waswahili wenyewe.
Ukweli ndio huu kama sio aje apinge.Wenyewe kwa wenyewe tumeshirikiana kufuatilia lile neno mpaka tumejua ukweli
Apinge aone tutakavyomjia na kamusiUkweli ndio huu kama sio aje apinge.
Kamusi!!! Ataruka atasema ni neno la kihuni toka kitaa.Apinge aone tutakavyomjia na kamusi
Kitaa kuna wakuu kibao wanatoka huko, kama kweli lingekuepo mitaani bila shaka wangesemaKamusi!!! Ataruka atasema ni neno la kihuni toka kitaa.
Wangesema hakika lakini si unajua wabongo tunavyopenda ligi???Kitaa kuna wakuu kibao wanatoka huko, kama kweli lingekuepo mitaani bila shaka wangesema
Ligi za wabongo huwa zinaniacha hoi sana mkuuWangesema hakika lakini si unajua wabongo tunavyopenda ligi???
Mkuu acha tu maana ukikutana na baadhi ya wabishi unaweza poteza mood.Ligi za wabongo huwa zinaniacha hoi sana mkuu
Mood huwa inapotea hasa pale unapoona mtu anakomalia kutetea kitu ilihali kipo wazi kabisa kua sio cha kweliMkuu acha tu maana ukikutana na baadhi ya wabishi unaweza poteza mood.
Kweli!!! Na huwa wanafanya makusudi maana ubishi kwao ni Hobby.Mood huwa inapotea hasa pale unapoona mtu anakomalia kutetea kitu ilihali kipo wazi kabisa kua sio cha kweli
Hobby zinatofautiana sana baina ya mtu na mtu, maana wengine hobby zao ni kukwaza tu watu wengineKweli!!! Na huwa wanafanya makusudi maana ubishi kwao ni Hobby.
Wengine ndio raha yao ukikwazika!!! Solution ni kuwakwepa.Hobby zinatofautiana sana baina ya mtu na mtu, maana wengine hobby zao ni kukwaza tu watu wengine
Kuwakwepa ndo solution mkuu, maana hamna namna nyingine sasaWengine ndio raha yao ukikwazika!!! Solution ni kuwakwepa.
Sasa maisha yenyewe mafupi, nini kujitakia stress.Kuwakwepa ndo solution mkuu, maana hamna namna nyingine sasa
Stress zisizo na sababu za msingi hazina nafasi kwa upande wanguSasa maisha yenyewe mafupi, nini kujitakia stress.
Mood huwezi kupoteza kwa kuwa hasira hasaraMkuu acha tu maana ukikutana na baadhi ya wabishi unaweza poteza mood.
hasara! huo ulimbukeni.Mood huwezi kupoteza kwa kuwa hasira hasara