Zuleykha
JF-Expert Member
- May 20, 2016
- 1,413
- 2,145
Mshindi ni yule anayeonekana sio anayejioneshaunachokinena nakubaliana nacho kwamba BW ndio mshindi
Mshindi ni yule anayeonekana sio anayejioneshaunachokinena nakubaliana nacho kwamba BW ndio mshindi
Mshindi ni yule anayeonekana sio anayejionesha
usilolitenda huwezi kujua ugumu/wepesi wake
Anachokifanya anaweza amini kwasababu tu akili na nafsi yake vinamtuma ila wanaomwangalia wanajua anakosea wapianayejionesha anaamini anachokifanya
Kiafrika ni wale walio ndani ya uwezo wakoWake wangapi wanaruhusiwa katika mila za kiafrika?
Anachokifanya anaweza amini kwasababu tu akili na nafsi yake vinamtuma ila wanaomwangalia wanajua anakosea wapi
Kiafrika ni wale walio ndani ya uwezo wako
wapi anapohitajika akashindwa kufanikiwa kufika
Kufika kwenye maendeleo unayoyahitaji inabidi uwekeze kwenye juhudi na maarifa
Mshindi BW?!!! duu!unachokinena nakubaliana nacho kwamba BW ndio mshindi
Maendeleo yapi?maarifa na juhudi zinahitajika katika maendeleo
Maendeleo yapi?
Mpya barabara ya Morogoroyapi ynayostahili kubadilishwa kwenye katiba mpya
Mpya barabara ya Morogoro
Morogoro ina barabara mpya? we vipi wewe? haa!!!Mpya barabara ya Morogoro
Haaa!!!kwani wee upo mji gani hujui kuwa Barabara ya mabasi yaendayo kasi ni mpya! kalaga baho na ubozi wakoMorogoro ina barabara mpya? we vipi wewe? haa!!!
Wako wengi ambao hawayajui mabasi hayoHaaa!!!kwani wee upo mji gani hujui kuwa Barabara ya mabasi yaendayo kasi ni mpya! kalaga baho na ubozi wako