Dexta
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 2,304
- 5,754
Kuchoka kila mtu kachoka jaman...sasa tulaleniKulala ni matokeo ya mwili kuchooka
Kuchoka kila mtu kachoka jaman...sasa tulaleniKulala ni matokeo ya mwili kuchooka
Tulaleni kwani saa hizi saa ngapi katika Bara la AfrikaKuchoka kila mtu kachoka jaman...sasa tulaleni
Kifo hakikwepeni kwa kulala,kila nafsi itaonja umautiTusilale lale....maana kulala ni nusu kifo
Kifo hakikwepeni kwa kulala,kila nafsi itaonja umauti
Peponi hukuingiliki bila kufanya matendo memaUmauti Ndio njia ya kwenda peponi.Ukiongelea mauti watu wengi wanaogopa Lakini kila mtu anataka kwenda peponi
Mema yameishaPeponi hukuingiliki bila kufanya matendo mema
Yameisha jamani alisikika mke mdogo akisema baba JJ. basi yameisha !!!Mema yameisha
Tusichoke kutoa mema, kwani kutoa ni kuongeza tuwe mfano wa mto humimina maji....Yameisha kwa wale waliochoka kutenda mema....kwa wengine kutenda mema ndio mpango mzima...tusichoke
Maji ya zamzam ni maji yaliyo barikiwaTusichoke kutoa mema, kwani kutoa ni kuongeza tuwe mfano wa mto humimina maji....
Yameisha kwa wale waliochoka kutenda mema....kwa wengine kutenda mema ndio mpango mzima...tusichoke
Haimaliziki kwa kuwa alichokiumba Mwenyeezi Mungu kimejaa katika hazina zake neema haitosimama....Tusichoke kupendana,kusaidiana,kufurahiana Kwa Mafanikio ya wengine.Tujiheshimu tutaheshimika tukijipenda tutapendeka.Tabasamu Ni zawadi ambayo unatoa Na bado haimaliziki.
Maji ya zamzam ni maji yaliyo barikiwa
Barikiwa na wewe upate kuyanywa na kujitaharisha nayo, ukiyapata mpe na mwenzio...😀Maji ya zamzam ni maji yaliyo barikiwa
Mimi nikushukuru tuu mkuu mgogooneBarikiwa Mwenyewe ndio Mimi
Haimaliziki kwa kuwa alichokiumba Mwenyeezi Mungu kimejaa katika hazina zake neema haitosimama....
Mwenzio akiyahitaji mpe kwa kuwa huwezi jua ana matizo gani anataka ayaombee tahfifuBarikiwa na wewe upate kuyanywa na kujitaharisha nayo, ukiyapata mpe na mwenzio...😀
Dunia ni kitu duni.. na duni kwa kiaarabu ni chembe kisichofaa..."tafakari"Haitosimama milele Ni dhuluma Na maonezi ya binaadamu kote duniani