Linamo
JF-Expert Member
- Jan 12, 2011
- 9,976
- 24,498
Wamiliki wa shule za private wanatuumiza Sana na Ada zao.
Wamiliki wa shule za private wanatuumiza Sana na Ada zao.
Zao la taifa ni lipi baada ya pamba na mahindi ?Wamiliki wa shule za private wanatuumiza Sana na Ada zao.
Kibongo bongo litakuwa Bangi maana naona ndo linaloongoza kwa kasi vijijini name mijini.Zao la taifa ni lipi baada ya pamba na mahindi ?
Mahindi Na mtama ni zao kubwa kwetu DodomaZao la taifa ni lipi baada ya pamba na mahindi ?
Mijini kuishi kumekusababishia uwe mropokaji wa maneno bila staha.....Kibongo bongo litakuwa Bangi maana naona ndo linaloongoza kwa kasi vijijini name mijini.
Dodoma kuna bwawa la maji au kuna ziwa, sijui lina itwaje ?Mahindi Na mtama ni zao kubwa kwetu Dodoma
Linaitwa mkarama ni bwana karibu Na stesheni ya traini.Dodoma kuna bwawa la maji au kuna ziwa, sijui lina itwaje ?
Traini ni moja ya usafiri unao hudumia sehemu kubwa nchini, Nashukuru kunijuza jina la bwawa...Linaitwa mkarama ni bwana karibu Na stesheni ya traini.
Bwawa lingine linaitwa Farkwa lilianzisha Mwaka 2015.Tunategemea Dodoma itabadilika kutokana Na kugunduliwa Kwa Madini mengiTraini ni moja ya usafiri unao hudumia sehemu kubwa nchini, Nashukuru kunijuza jina la bwawa...
Wazalendo ni wapo mbali na mawazo ya kujiajiri !! ila nikiunganisha dots naamini mwenzangu ni mgogo asili (kwa id yako) na (kwa ukarimu wako) hivyo unatushauri tuanze kuchimba...Bwawa lingine linaitwa Farkwa lilianzisha Mwaka 2015.Tunategemea Dodoma itabadilika kutokana Na kugunduliwa Kwa Madini mengi
Yakiwemo Alimasi,Uranium Na Ruby karibuni kwenye uwekezaji kwa WAZALENDO
Kuchimba ni muhimu.Katika serekali hiiWazalendo ni wapo mbali na mawazo ya kujiajiri !! ila nikiunganisha dots naamini mwenzangu ni mgogo asili (kwa id yako) na (kwa ukarimu wako) hivyo unatushauri tuanze kuchimba...
Madini ni rasilimali ya taifa, hivyo urasimu serikalini uzingatie muda maalum !!Kuchimba ni muhimu.Katika serekali hii
Huna haja ya kumjua Huyu wala yule.Unafuata Sheria za nchi ya uwekezaji ambayo iko kwenye tovuti ya wizara ya nishati Na Madini
Maalum ni kiashirio cha marufukuMadini ni rasilimali ya taifa, hivyo urasimu serikalini uzingatie muda maalum !!
Marufuku kukojoa maeneo haya bango lina soma pale karibu na wizara.....Maalum ni kiashirio cha marufuku
Zao la mkulima wa kusini ni korosho...Wizara ni ile ya jamaa mkuu wa wizara ambaye ni mlanguzi akishirikiana na dad yake kulangua watu na pesa zao
Korosho ni zao la mikoa ya Lindi,Mtwara,Pwani na Dar-es-salaamZao la mkulima wa kusini ni korosho...
Dar-Es-salaam mji wa Amani Na utulivu.na bila ya kusau Kwa ndungu zetu wandegereko RufijiKorosho ni zao la mikoa ya Lindi,Mtwara,Pwani na Dar-es-salaam
Rufiji ni mkoa wa mpwani wenyeji wake ni wadengerekoDar-Es-salaam mji wa Amani Na utulivu.na bila ya kusau Kwa ndungu zetu wandegereko Rufiji
Wandengereko a.k.a "wandenge Stan" wanapatikana katika maeneo ya Mkuranga,Jaribu Mpakani, Bungu,Kibiti,Ikwiriri,Nyamisati,Kisiju,Nyamwage,Ngulakula,Kimbuga,Njopeka,Mkiu,Muhoro,Somanga hata ni maeneo kwa uchache bila kusahau Makao Makuu Utete.Rufiji ni mkoa wa mpwani wenyeji wake ni wadengereko