Blaki Womani
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 11,228
- 13,448
Kumwenya linapunguza utamuUtakubali nikilila bila kumenya?
Kumwenya linapunguza utamuUtakubali nikilila bila kumenya?
Utamu utausikia tu wala usijaliKumwenya linapunguza utamu
Usijali Kila kitu kitakwenda kama kilivyopangwaUtamu utausikia tu wala usijali
Kilivyopangwa na nani?..Tupange mimi na weweUsijali Kila kitu kitakwenda kama kilivyopangwa
Wewe na Mimi hadi kielewekeKilivyopangwa na nani?..Tupange mimi na wewe
Wewe nawe ...huna dogo..khaa..ilisikika sauti toka chumba cha jiraniKilivyopangwa na nani?..Tupange mimi na wewe
Kieleweke fasta kama vipi..Hali ya hewa ni rafiki tehWewe na Mimi hadi kieleweke
Jirani alikuwa anaongea na mumewe nadhaniWewe nawe ...huna dogo..khaa..ilisikika sauti toka chumba cha jirani
The teh majira yanapendeza kila mtu anatamaniKieleweke fasta kama vipi..Hali ya hewa ni rafiki teh
Anatamani kufanya mapenzi?The teh majira yanapendeza kila mtu anatamani
Mapenzi umpate anayeyajua utafurahiAnatamani kufanya mapenzi?
Utafurahi zaidi ukimpata mnaeendanaMapenzi umpate anayeyajua utafurahi
Mnaeendana utampata kwa kutokubalidilisha kama nguoUtafurahi zaidi ukimpata mnaeendana
Nguo zinasaidia kujua tabia ya mtu sometimesMnaeendana utampata kwa kutokubalidilisha kama nguo
Sometimes unaweza kukosea kumuhukumuNguo zinasaidia kujua tabia ya mtu sometimes
Kumuhukumu binadamu mwenzako ni kosaSometimes unaweza kukosea kumuhukumu
Kosa la kwanza sio kosa.bali kurudia kosaKumuhukumu binadamu mwenzako ni kosa
Kosa ni kosa bana..Kosa la kwanza sio kosa.bali kurudia kosa
Bana shetani anaweza kukupitiaKosa ni kosa bana..