Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Maana hakuna atakaye kaa benchi ktk hii ngoma kila mtu atacheza tena Kwa furaha.hii ndio jamii ya WaBongo.
 
Maana hakuna atakaye kaa benchi ktk hii ngoma kila mtu atacheza tena Kwa furaha.hii ndio jamii ya WaBongo.
WaBongo wengi ktk miaka ya nyuma walikata tamaa ya maisha.Mtandao wa maisha Ulikuwa mgumu kuingia Kama humjui mtu wa serekali.
Sasa mitandao iko wazi hata siamini nafikiri naota.
 
Naota ndoto tena nikistuka najikuta naharibu mtiririko wa huu Uzi kwa kukurupuka
 
Back
Top Bottom