Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

bar tena? sasa mbona nahis hata mtoa uzi alishasahau kama alituachia kazi!
 
Kazi ya kutumbua majipu ya kila aina inaendelea kila kona ya nchi, leo mwanza wamempokea kwa mbwembwe WM, nikajichekea tu, nikajisemea hv hawa wasukuma wenzangu wangejua kuwa mgeni wao hapendi hata hizo mood za ku'chekeana² , wao wangempokea kigumkigum tu
 
Tu au tuu... Ipi ni kiswahili sanifu?
Sanifu alichokiandika mwenzako sio unaenda nje kabisa ya neno la mwisho la post ulioikuta ukijiona ubongo umeshindwa kuchakata maneno acha watakuja wanaojua kulifungua hilo na mchezo utaendelea
 
Sanifu alichokiandika mwenzako sio unaenda nje kabisa ya neno la mwisho la post ulioikuta ukijiona ubongo umeshindwa kuchakata maneno acha watakuja wanaojua kulifungua hilo na mchezo utaendelea
utaendelea vipi wakati tayari mimi ndo mshindi
 
Mwisho wa siku naona ntajikuta sisomi uzi mwingine zaidi ya huu tuu
 
Back
Top Bottom