dosho12
JF-Expert Member
- May 6, 2023
- 3,710
- 9,875
Wananchi wamechoka kuchukuliwa kama wajingaHawatufai hata wa rangi ya kijani wasiojali kodi za wananchi
Wananchi wamechoka kuchukuliwa kama wajingaHawatufai hata wa rangi ya kijani wasiojali kodi za wananchi
Wananchi mtakaza mpaka lini SI mkubaliane mmoja awe mshindi huu Uzi ufungweHawatufai hata wa rangi ya kijani wasiojali kodi za wananchi
mm pia sipo serioussoma masharti ya game la uzi mkuu, pia huu ni mchezo tu nothing serious
Ufungwe kwa namna ipi kama mimi sii mshindi?Wananchi mtakaza mpaka lini SI mkubaliane mmoja awe mshindi huu Uzi ufungwe
Mshindi kama ukiwa wewe au dosho12 Haina shida kubalianeni kama vipi muwe wote wawiliUfungwe kwa namna ipi kama mimi sii mshindi?
Ndio maana nawashangaa sana kivip hamtaki kumaliza mchezoShaka ipo kama mimi sitakuwa mshindi
Mchezo utaendelea mpaka apatikane mshindi mmoja ipo siku, hujaona Ibn Unuq katangaza kutoa mil 10 😅😅 hivyo mshindi atapatikana tu na nikizeeka nampatia na mwanangu ipo siku na yeye aendeleze ligiNdio maana nawashangaa sana kivip hamtaki kumaliza mchezo
Ligi kumbe inaushawishi na hausemi kiongoziMchezo utaendelea mpaka apatikane mshindi mmoja ipo siku, hujaona Ibn Unuq katangaza kutoa mil 10 😅😅 hivyo mshindi atapatikana tu na nikizeeka nampatia na mwanangu ipo siku na yeye aendeleze ligi
Kiongozi unuq katangaza dau, nina mpango wa kuwambia mods wafunge uzi ikiwa comment yangu ikiwa ya mwisho, nitawapatia asilimia 30 ya ushindi wanguLigi kumbe inaushawishi na hausemi kiongozi
Wangu wa moyoni, usiniache nife kwa huzuni.Kiongozi unuq katangaza dau, nina mpango wa kuwambia mods wafunge uzi ikiwa comment yangu ikiwa ya mwisho, nitawapatia asilimia 30 ya ushindi wangu
Wangu ushauri ni kuwa andika nyuzi kuomba member wote wa JF wasiguse huu Uzi unaweza kupata ushindiKiongozi unuq katangaza dau, nina mpango wa kuwambia mods wafunge uzi ikiwa comment yangu ikiwa ya mwisho, nitawapatia asilimia 30 ya ushindi wangu
Huzuni imetanda baada ya mwizi kuibiwaWangu wa moyoni, usiniache nife kwa huzuni.
Jiji Gani unalizungumzia SI wengine wageniKuibiwa aibiwe mwingine, ukiibiwa wewe utalijua Jiji.
Wageni kwani mnakamba miguuniJiji Gani unalizungumzia SI wengine wageni
Miguuni kavaa kandambili, mkononi kashika viatu vya ngozi.Wageni kwani mnakamba miguuni
ngozi ya mnyama gani??????Miguuni kavaa kandambili, mkononi kashika viatu vya ngozi.