Mowwo
JF-Expert Member
- Aug 15, 2015
- 1,725
- 2,541
Mtende huota sehem yenye joto na maji ya kutosha, km kawa wako tafuta helaWao ni wao mimi napambana na kitu changu Mrs none kashakua wangu bahati ya mtende
Mtende huota sehem yenye joto na maji ya kutosha, km kawa wako tafuta helaWao ni wao mimi napambana na kitu changu Mrs none kashakua wangu bahati ya mtende
Hela siyo kila kituMtende huota sehem yenye joto na maji ya kutosha, km kawa wako tafuta hela
Kitu kinaweza kuwepo hata kama hakuna thamani ya fedhaHela siyo kila kitu
Hela zikiwa nyingi ni mwanzo wa fitina ,zikiisha hata baby Mrs none anaweza chepuka akaniacha na maumivu ya moyoMtende huota sehem yenye joto na maji ya kutosha, km kawa wako tafuta hela
Kitu umeongea ni cha kweli kabisa,watu wenye pesa zao na zinawazikaHela siyo kila kitu
Fedha sabuni ya roho mkuu utakatishaji hata nuksi na mikosiKitu kinaweza kuwepo hata kama hakuna thamani ya fedha
Mikosi ipo tu hata pesa ikiwepo, kikubwa ni kuomba Mungu awe mwaminifuFedha sabuni ya roho mkuu utakatishaji hata nuksi na mikosi
Mwaminifu ni mtu yule Mungu hupendezea naeMikosi ipo tu hata pesa ikiwepo, kikubwa ni kuomba Mungu awe mwaminifu
Nae akafanya kama mungu apendavyoMwaminifu ni mtu yule Mungu hupendezea nae
Apendavyo kuishi ni haki yake, ili mradi havunji sheriaNae akafanya kama mungu apendavyo
Huu mchezo atakaye kuwa mshindi mimi natangaza kutoa Milioni 10 kwake.Apendavyo kuishi ni haki yake, ili mradi havunji sheria.
Challenge accepted 😎😎Huu mchezo atakaye kuwa mshindi mimi natangaza kutoa Milioni 10 kwake.
Niko serious kwenye hili.
Sheria siku hizi inapindishwa na watu wajuajiApendavyo kuishi ni haki yake, ili mradi havunji sheria
Wajuaji wapi wakati mwingine inapindishwa na wahuniSheria siku hizi inapindishwa na watu wajuaji
Wahuni wanaitumia nafasi yoyote ile inayotokea kwaoWajuaji wapi wakati mwingine inapindishwa na wahuni
Kwao kila nafasi ni fursa, tuwakatae wahuniWahuni wanaitumia nafasi yoyote ile inayotokea kwao
Wahuni sio watu wazuri hakika hawatufaiKwao kila nafasi ni fursa, tuwakatae wahuni
Kuna wakati unayesema hakufai ndo siku moja atakufaa ambaye ni huyo unamwita muhuniWahuni sio watu wazuri hakika hawatufai
soma masharti ya game la uzi mkuu, pia huu ni mchezo tu nothing seriousKuna wakati unayesema hakufai ndo siku moja atakufaa ambaye ni huyo unamwita muhuni
Hawatufai hata wa rangi ya kijani wasiojali kodi za wananchiWahuni sio watu wazuri hakika hawatufai