Mowwo
JF-Expert Member
- Aug 15, 2015
- 1,725
- 2,541
Haki imekua na madoa labda isiwe TanzaniaAtashinda ndio ila sidhani kama itakuwa kwa haki
Haki imekua na madoa labda isiwe TanzaniaAtashinda ndio ila sidhani kama itakuwa kwa haki
Tanzania ni nchi ya amaniHaki imekua na madoa labda isiwe Tanzania
Amani ni muhimu sana kwa ustawi wa ulimwengu.Tanzania ni nchi ya amani
Ulimwengu una mambo mengiAmani ni muhimu sana kwa ustawi wa ulimwengu.
Mengi yamefichwaUlimwengu una mambo mengi
Mengi katika ulimwengu yanayoshika kasi ni dhulma!Ulimwengu una mambo mengi
Yamefichwa wapiMengi yamefichwa
Dhulma huzaa chuki moyoniMengi katika ulimwengu yanayoshika kasi ni dhulma!
Mengi nimeshayapitia kwenye mapenzi sijaona jipyaUlimwengu una mambo mengi
Wapi ulipoweka kitabu changuYamefichwa wapi
Moyoni mwako niweke mimiDhulma huzaa chuki moyoni
Jipya huanza kila asubuhiMengi nimeshayapitia kwenye mapenzi sijaona jipya
Mimi ni mwenye ndoto kubwaMoyoni mwako niweke mimi
Changu ni chako vyako ni vyetu vyangu ni vyakoWapi ulipoweka kitabu changu
Vyako vyote vipo salamaChangu ni chako vyako ni vyetu vyangu ni vyako
Kubwa ni uzima hata hukinikataaMimi ni mwenye ndoto kubwa
Ukinikataa sitakulazimishaKubwa ni uzima hata hukinikataa
Sitakulazimisha unizalie ila nakupendaUkinikataa sitakulazimisha
Nakupenda piaSitakulazimisha unizalie ila nakupenda