danhosnoop
JF-Expert Member
- Oct 21, 2014
- 2,721
- 10,528
Tuu inaonyesha msisitizo wa jinsi gani huwa unamuangaliaga kidogo sana yaniKumuangalia namuangaliaga kidogo tuu
Tuu inaonyesha msisitizo wa jinsi gani huwa unamuangaliaga kidogo sana yaniKumuangalia namuangaliaga kidogo tuu
Washindi tunaweza tukawa sisi kweli, ila sidhani kama wakuu wengine kama manchoso, samtz1 watakubali kushindwaYani nadhani sisi ndio washindi
kushindwa ni kitu mbaya sana, bora wote tuwe washindi tufurahieWashindi tunaweza tukawa sisi kweli, ila sidhani kama wakuu wengine kama manchoso, samtz1 watakubali kushindwa
Tufurahie ushindi kabisa tujue moja maana uzi wenyewe hauna hata dalili ya kufika mwishokushindwa ni kitu mbaya sana, bora wote tuwe washindi tufurahie
mwisho utafika pale tu tukijua zawadi ya mshindi ni nini, inawezekana ni kupigwa bannTufurahie ushindi kabisa tujue moja maana uzi wenyewe hauna hata dalili ya kufika mwisho
Bann!!! Hahahaaa, aisee umenchekesha sana mkuumwisho utafika pale tu tukijua zawadi ya mshindi ni nini, inawezekana ni kupigwa bann
Mkuu nakwambia moderetors wakisema mshindi wa huu uzi anapigwa bann hakuna hata mmoja ataingia hapaBann!!! Hahahaaa, aisee umenchekesha sana mkuu
Hapa ikibidi tuwakomalie moderators watuambie mapema mshindi atapewa nini, ili kama ni kweli zawadi ni kupigwa bann ntokomee kwenye huu uzi fasta sana na mshindi apatikane leo leoMkuu nakwambia moderetors wakisema mshindi wa huu uzi anapigwa bann hakuna hata mmoja ataingia hapa
Juma akijua kua una ugwadu na mama yake atakunyosoLeo nna ugwadu na mama juma
Atakunyoso hahahahahJuma akijua kua una ugwadu na mama yake atakunyoso
Hahahahah, we muache tu na huo ugwadu wake, Si tunasubiri tu mrejeshoAtakunyoso hahahahah
Lini hata mimi sijui kiukweli, ila sidhani kama kutakua na mrejesho wowote maana huu uzi upo tangu 2012 na hakuna mrejesho mpaka leoMrejesho wa hii sredi sijui utafika lini
Muongo asipotubu hatafika mbinguni
Motoni sio sehemu nzuri kabisa, ila basi tu wanadamu tunajisahau na kuendelea kufanya dhambiMbinguni alipo Mungu kuna mafikio ya wema peponi Na waovu motoni