Miss chagga namtamani balaa tatizo moja tu sina hela.Mangi wote wauza maduka hapa mjini kasoro @miss chagga
Hela ingekuepo angekutamani yeyeMiss chagga namtamani balaa tatizo moja tu sina hela.
Yeye amejaaliwa umbo zuriHela ingekuepo angekutamani yeye
Baya ni la kuepuka kabisazuri ni kheri kuliko baya
Haiwezekani uchaguzi wa Zanzibar kurudiwakabisa kabisa??? haiwezekaniki
Nkurunzinza ni mbishi hadi anabishana na kivuli chakekurudiwa unarudiwa mkuu ccm walishaapa hawatakaa wakabidhi ikulu kwa upinzani, halafu wanajifanya kwenda kusuluhisha kwa Nkurunzinza!!
Zanzibar kuna jipu..chake chacke ipo zanzibar
Jipu dawa yake ni kutumbuliwa tuZanzibar kuna jipu..
Mwakani ndio uchaguzi wa rais Zanzibar utarudiwa bado kujua TareheHalijaiva labda tusubiri mpaka mwakani.
Tarehe 14 mwezi wa 2 ni Valentine day ..namaanisha ni siku ya mahabaMwakani ndio uchaguzi wa rais Zanzibar utarudiwa bado kujua Tarehe