SNAP J
JF-Expert Member
- Dec 26, 2013
- 7,117
- 8,087
Mwakani ndio uchaguzi wa rais Zanzibar utarudiwa bado kujua Tarehe
Tarehe 31 mwezi wa 12 mwaka 2015 hutaiona tena.
Mwakani ndio uchaguzi wa rais Zanzibar utarudiwa bado kujua Tarehe
Mwisho wa mwaka 2015 ni saa sita kamili usikuMimi ndo wa mwisho
Usiku wa leo ni mwendo wa kudinyana...Mwisho wa mwaka 2015 ni saa sita kamili usiku
Kimakonde ni kilugha cha hovyo sana!!Kudinyana ni kiswahili au kimakonde!!
Lunch????No free lunch
? Ni alama ya kiulizoLunch????
Kiulizo hicho ni kwahuyo aliyetoka nje ya utaratibu ...kuna members wengine humu jf ni majipu yanahitaji kutumbuliwa.? Ni alama ya kiulizo
Kiulizo hicho ni kwahuyo aliyetoka nje ya utaratibu ...kuna members wengine humu jf ni majipu yanahitaji kutumbuliwa.
Tena kwa mbwembwe zote wanasimama na kusema hapa kazi tu ovyoo kabisarahisi ni kuwatumbua watu wa chini,mawaziri husika hawajatumbuliwa zaidi ya kupewa wizara tena
Kabisa kabisa nimedhamiria kugombea urais wa JMT mwaka 2045 mungu akipenda!!Tena kwa mbwembwe zote wanasimama na kusema hapa kazi tu ovyoo kabisa
akipenda utakuwa hata katibu mkuu umoja wa mataifaKabisa kabisa nimedhamiria kugombea urais wa JMT mwaka 2045 mungu akipenda!!
Mataifa mengine yamejaliwa kuwa na uchumi mzuri ila tatizo Amani... naipenda nchi yangu Tanganyikaakipenda utakuwa hata katibu mkuu umoja wa mataifa
Tanganyika ni muunganisho wa maneno Tanga na NyikaMataifa mengine yamejaliwa kuwa na uchumi mzuri ila tatizo Amani... naipenda nchi yangu Tanganyika
Nene sana zinasumbua.Nyika ni sehemu ya pori nene
zinasumbua sana hasa ukimpata kigoriNene sana zinasumbua.