Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 25,169
- 48,451
njano ni rangi inayotumiwa na chama kinachowagandamiza watanzania
Watanzania wengi ni ma boyanjano ni rangi inayotumiwa na chama kinachowagandamiza watanzania
maboya ni mmojawapo wa wahubiri wa Tanzania mwenye utata sana
Sana na waumini mnalijua ilo, kwanini hamtoki nyuma yakemaboya ni mmojawapo wa wahubiri wa Tanzania mwenye utata sana
nyuma yake kuna uteja wa ulokole na hofu ya kuonekana umerudi nyuma kiimani
Kiimani waweza fikia motoninyuma yake kuna uteja wa ulokole na hofu ya kuonekana umerudi nyuma kiimani
Motoni au peponi ndio makazi yanayotajwa huko tuendapoKiimani waweza fikia motoni
nani amewahi kwenda na kurudi na kusema kama kweli yapo ama hayapo?
Hayapo mengi Sana ambayo,unaishi kwa kuyasikia tuunani amewahi kwenda na kurudi na kusema kama kweli yapo ama hayapo?
Tuu ni 2 kwa ki englishHayapo mengi Sana ambayo,unaishi kwa kuyasikia tuu
English lilikuwa somo tatizo sana enzi hizo, unatoka kwenye lugha ya baba na mama, Kiswahili halafu hiyo lugha!!
Lugha gongana ni pale dem anataka mshedede halafu wewe unataka denda.English lilikuwa somo tatizo sana enzi hizo, unatoka kwenye lugha ya baba na mama, Kiswahili halafu hiyo lugha!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwenzako ni mlafi anamla hadi jicho, ila akija kwako anajifanya mlokole bro ndo dunia ilivyodenda likikataliwa na dem usilazimishe ujui tu katoka kuramba dude la mwenzako
Njaa ndio ilio sababisha kuwepo kwa wadangajiDunia ilivyo ndiyo hivyo, ukiwa na kinyaa unalala njaa
n.k. kwa kirefu ni 'na kadhalika'Ndogo ni relative term ndogo kwako kwa mwingine ni kubwa, kawaida n.k