fizo talent
JF-Expert Member
- Oct 17, 2017
- 2,256
- 3,889
Kifani cha binadamu kinatutisha humu ndani[/QUOTE]Kifani lina maana sawa na kitaaluma
Sent using Jamii Forums mobile app
Kifani cha binadamu kinatutisha humu ndani[/QUOTE]Kifani lina maana sawa na kitaaluma
Kifani lina maana sawa na kitaalumaKifani cha binadamu kinatutisha humu ndani
Kitaaluma ni mkusanyiko wa elimu na ufanisi wa kutenda.....[/QUOTE]Kitaaluma mie namshinda Mwalimu Kashasha
Kitaaluma mie namshinda Mwalimu KashashaKitaaluma ni mkusanyiko wa elimu na ufanisi wa kutenda.....
Kasha la embe za Tanga zimeteremshwa sokoni...[/QUOTE]Kashasha ni mwalimu? Mi nilidhani ni mkulima wa karafuu
Kashasha ni mwalimu? Mi nilidhani ni mkulima wa karafuuKasha la embe za Tanga zimeteremshwa sokoni...
Karafu ni zao hulimwa ktk visiwa vya Zanzibar na Indonesia....[/QUOTE]Karafuu ni zao linalolimwa kwa wingi Zanzibar
Karafuu ni zao linalolimwa kwa wingi ZanzibarKarafu ni zao hulimwa ktk visiwa vya Zanzibar na Indonesia....
Zanzibari ni Kiswa Cheneye ustaarabu..[/QUOTE]Zanzibar ni nchi ukijifanya kiherehere kwenda kununua kitu kukileta dar wanakula kodi kama uliyonunulia icho kitu
Zanzibar ni nchi ukijifanya kiherehere kwenda kununua kitu kukileta dar wanakula kodi kama uliyonunulia icho kituZanzibari ni Kiswa Cheneye ustaarabu..
Zanzibar ni nchi ukijifanya kiherehere kwenda kununua kitu kukileta dar wanakula kodi kama uliyonunulia icho kitu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kitu kidogo tu serikaliKitu kizuri ni kumuheshimu mama ako mzazi
Adhimu ni msamiati wa kiswahili ambao ni mara chache sana kuona unatumika na Watanzania[/QUOTE]Serikali ina maanisha kuna siri kali ndani ya dola adhimu...
WaTanzania wengi ni watu wenye upendo na upole wanapokutana ...[/QUOTE]Wanapokutana wawili mvulana na msichana wa tatu ni shetani!Adhimu ni msamiati wa kiswahili ambao ni mara chache sana kuona unatumika na Watanzania
Wanapokutana wawili mvulana na msichana wa tatu ni shetani!WaTanzania wengi ni watu wenye upendo na upole wanapokutana ...
Shetani kasaini mkataba Wa kazi bila kupumzika !![/QUOTE]Shetani mara nyingi huwa anaishia kula kwa macho
Shetani mara nyingi huwa anaishia kula kwa machoShetani kasaini mkataba Wa kazi bila kupumzika !!
Macho yanaona mbali Lakini mkono haufiki ....[/QUOTE]Macho ya njano
Macho ya njanoMacho yanaona mbali Lakini mkono haufiki ....