mkubhi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2015
- 2,216
- 3,319
Unaichukia hata wewe kwa sababu inapenda kuiba hela ya rambirambi!Miccm ilikufanyaje mbona unaichukia?
Unaichukia hata wewe kwa sababu inapenda kuiba hela ya rambirambi!Miccm ilikufanyaje mbona unaichukia?
Rambirambi ya safari hii naona imewafikia walengwaUnaichukia hata wewe kwa sababu inapenda kuiba hela ya rambirambi!
Walengwa kwani ni kufanya matengenezo ya vivuko vingine?Rambirambi ya safari hii naona imewafikia walengwa
Walengwa ndo hawa?Walengwa kwani ni kufanya matengenezo ya vivuko vingine?
Hawa sasa wameharibu dhana nzima ya rambirambiWalengwa ndo hawa?View attachment 880067
rambirambi zimefika kwa kua alitoa mkulu mwenyeweHawa sasa wameharibu dhana nzima ya rambirambi
Mwenyewe umeona maneno ya PM hapo juurambirambi zimefika kwa kua alitoa mkulu mwenyewe
hapo juu inamaanisha hela zitakazobaki ndio zitafanyiwa matengenezo ya vivuko vingineMwenyewe umeona maneno ya PM hapo juu
Vivuko vingine? Hivi hela ya rambirambi inaweza kutumika kumsomesha mtoto wa jirani?hapo juu inamaanisha hela zitakazobaki ndio zitafanyiwa matengenezo ya vivuko vingine
mtoto wa jirani anasomeshwa kwani unajua hao waliopewa walifanyia kazi ganiVivuko vingine? Hivi hela ya rambirambi inaweza kutumika kumsomesha mtoto wa jirani?
Walifanyia kazi gani kweli sijuimtoto wa jirani anasomeshwa kwani unajua hao waliopewa walifanyia kazi gani
sijui ni jibu tosha hata serikali ipo sahihi kufanya marekebisho kwani hujaskia habari ya yule mama aliemuombea mumewe angekufa kwenye mv nyerere ila apate rambirambiWalifanyia kazi gani kweli sijui
Rambirambi inamtoa udenda kiasi cha kutamani mumewe angekufa!sijui ni jibu tosha hata serikali ipo sahihi kufanya marekebisho kwani hujaskia habari ya yule mama aliemuombea mumewe angekufa kwenye mv nyerere ila apate rambirambi

angekufa maana alisema hana msaada zaidi ya ulevi na uzinziRambirambi inamtoa udenda kiasi cha kutamani mumewe angekufa!![]()
Ulevi na uzinzi kwa wanaume limekuwa janga kwenye familia nyingiangekufa maana alisema hana msaada zaidi ya ulevi na uzinzi
familia nyingi zimeyumba kutokana na kutokua na baba imara ktk familiaUlevi na uzinzi kwa wanaume limekuwa janga kwenye familia nyingi
Familia yako naomba usiifanyie hivyo rafikifamilia nyingi zimeyumba kutokana na kutokua na baba imara ktk familia
rafiki yako ni rahisi kua aduiFamilia yako naomba usiifanyie hivyo rafiki
Adui wa adui yako ni rafiki yakorafiki yako ni rahisi kua adui
Yako wapi aliyoahidi jamaa yako?Adui wa adui yako ni rafiki yako