fizo talent
JF-Expert Member
- Oct 17, 2017
- 2,256
- 3,889
tunapopataka ndipo tunaelekea sasa hivi itakua lugha rasmi africaBakita ipo mda mrefu Sana lakin chaajabu kiswahili hakijafika tunapopataka
tunapopataka ndipo tunaelekea sasa hivi itakua lugha rasmi africaBakita ipo mda mrefu Sana lakin chaajabu kiswahili hakijafika tunapopataka
Afrika bara jeusi!tunapopataka ndipo tunaelekea sasa hivi itakua lugha rasmi africa
Jeusi kama mkaaAfrika bara jeusi!
mkaa ni mweusiJeusi kama mkaa
Mweusi ni rangi ya asilimkaa ni mweusi
Asili isiyopendwa na waafrika walio wengiMweusi ni rangi ya asili
wengi hawaikubali Hali yao ya weusiAsili isiyopendwa na waafrika walio wengi
Weusi hawautaki kwakuwa wanaume mnashobokea wanawake weupewengi hawaikubali Hali yao ya weusi
weupe hata ivo unavutia tofauti na weusiWeusi hawautaki kwakuwa wanaume mnashobokea wanawake weupe
Weusi ni habari nyingine wewe, rangi adimu isiyopatikana popote duniani isipokuwa Afrika. Isiyouzwa kwenye duka la mzugu wala mchina isipokuwa majaaliwa ya Mwenyezi Mungu. Proud to be cheusi mangalaweupe hata ivo unavutia tofauti na weusi
cheusi mangala hutakiwi kuwa proud of yourself sababu weusi ni ishara ya Giza na umasikiniWeusi ni habari nyingine wewe, rangi adimu isiyopatikana popote duniani isipokuwa Afrika. Isiyouzwa kwenye duka la mzugu wala mchina isipokuwa majaaliwa ya Mwenyezi Mungu. Proud to be cheusi mangala
Umaskini sio kilema ukikomaa unaachana naocheusi mangala hutakiwi kuwa proud of yourself sababu weusi ni ishara ya Giza na umasikini
nao waweza kuondoka bila shakaUmaskini sio kilema ukikomaa unaachana nao
Bila shaka hata mimi nitauondokanao waweza kuondoka bila shaka
nitauondoka umaskini ili nipate mke nimtakayeBila shaka hata mimi nitauondoka
Nimtakaye nitampata nikiwa mvumilivunitauondoka umaskini ili nipate mke nimtakaye
Mvumilivu hula mbivu japo ngoja ngoja nayo yaumiza matumboNimtakaye nitampata nikiwa mvumilivu
Matumbo ya wadada sikuhizi yanapungua kwakuwa madanga wamepunguza bajeti ya kuhongaMvumilivu hula mbivu japo ngoja ngoja nayo yaumiza matumbo
Kuhonga wamepunguza ila wadada nao wamehamia kwenye vibia vya buku jero hivyo wanakunywa nyingi tofauti na enzi za savanahMatumbo ya wadada sikuhizi yanapungua kwakuwa madanga wamepunguza bajeti ya kuhonga
Savanah ishakua mkombozi wa wengi ee..ila sio mbaya wajue na kuzitafuta pesaKuhonga wamepunguza ila wadada nao wamehamia kwenye vibia vya buku jero hivyo wanakunywa nyingi tofauti na enzi za savanah